Tunapoficha makosa ya Diamond kwa kisingizio cha uzalendo

Mi hao wamaotukana kiswahili kwenye hizo page Twitter instagram na kwenye hizo blog wananichosha vibaya saana.... muda mwingine huwa naona hadi aibu kusoma waliyoandika

Utashangaa sana na ndio utajuwa mswahili wa Tandale alivyo na mashabiki mapunguwani. Jitolee kuwapa kuwalipia kwa Ras Simba, hii ni aibu tunachoreshana bila sababu.
 
Utashangaa sana na ndio utajuwa mswahili wa Tandale alivyo na mashabiki mapunguwani. Jitolee kuwapa kuwalipia kwa Ras Simba, hii ni aibu tunachoreshana bila sababu.

Mhhh Matola bana....
 
Last edited by a moderator:
kwani mondi yeye kamfanya nini davido??? and big brother amedanganya vipi sasa???

mkuu km umefuatilia hii ishu vizuri nadhani utakuwa unaelewa kuwa tweet ya davido haikuwa personal kwa diamond ila tweet ya diamond ilikuwa personal kwa davido hpo ndyo kuna tofauti na ugomvi ndyo umeanzia hpo
 
 
Last edited by a moderator:
Moderator unganisheni hizi thread za diamond za ile "diamond fans' special thread"

asante.
 
Last edited by a moderator:

Umeandika maelezo marefu lakini b hujagusa mzizi wa yote hayo hasa. Wakati ukijitahidi kujenga hoja dhaifu ya kuonyesha kuwa diamond kamkosea Davido lakini umeshindwa kabisa kupambanua n kuweza wazi chanzo cha msuguano na neno gani baya ambalo diamond alilolisema au kulifanya dhidi ya davido

Mi binafsi nilichokiona ni maneno ya chuki na kejeli aliyoyatoa davido dhidi ya ushindi wa Idris na Diamond kwani aliposema "they cheated again...." ni wazi alionyesha kutokubaliana na matokeo ya Big brother Africa na matokeo ya Channel O Africa Music Award.

Tukirudi katika swala la Big Brother tunajiuliza maswali mengi. Je Davido alikuwa ni mshiriki wa Big Brother? Je kuna cheating yeyote aliyoishuhudia? Na kwakuwa yeye sio mshiriki wa big brother kwanini akasirike kwa ushindi wa Idriss?

Nilichokiona hapo ni kuwa Davido ameweka UNigeria mbele kwanza kwakuwa ni Taifa lake na pia Diamond ameweka UTanzania mbele kwakuwa ni nchi yake au wewe ulitaka Diamond auuze Utanzania wake kwa urafiki mfupi tu wa Davido? kumbuka pia kwa maneno yale ya Davido ameukejeli hata ushindi wa Diamond alioupata CHOAMWA kuwa nayo ilikuwa ni cheating? Sasa wewe ulitaka Diamond akubali kutukanwa na kudharauliwa na mtu naye amnyenyekee tu kisa Davido ni rafiki yake? Tueleze zaidi ya kufanya Collaboration katika wimbo wa M Number 1 remix Diamond na Davido wana urafiki gani tena? Kuwa mzalendo wa Tanzania yako usiwe mtumwa wa kimawazo kuwa bila ya Nigeria wasanii wetu hawawezi kusonga mbele. Ukishaanza kujidharau mwenyewe ni nani atakayekuthamini?
 

Tumia akili katika hoja zako wewe. Hakuna mtu yeyote aliyosema kuwa Idris alikwenda kuiwakilisha serikali au kuiwakilisha CCM bali ukweli n kwamba alikwenda kuiwakilisha Tanzania.

Naimani utakuwa unajua kuwa i uweze kushiriki ni lazima uteuliwe kutoka katika nchi yako na wakupendekeze uende kuwakilisha Taifa fulani. Na ndiyo maana licha ya majina yao washiriki pia hutambulika kwa utaifa wao. Hivyo bila kujali msimamo wa serikali ukweli ni kwamba Idriss alikuwa ni muwakilishi wa Tanzania
 

Labda kama alikwenda kukuwakilisha wewe na Familia yako sawa hamna maneno ila mimi sijawakilishwa na namtambuwa Idrisa kama mshiriki kutoka Tanzania.

Upumbavu wa watu mmoja mmoja msiliingize Taifa, Leo umwambie Mufti au Askofu eti aliwakilishwa na Idrisa kwenda kwenye ushetani wa BBA si unatafuta mshikemshike?
 
Reactions: Nzi

Kweli wewe chura...unarukaruka tu hata pasipostahili kuruka.

Rudia tena kusoma post yangu..pengine utaelewa..
 
Ipo siku utatoa uzi hapa kutuambia tuinamishwe kwa wanaotusaidia
 
Davido ana madharau tena ukichanganya ufupi wake na jeuri ya pesa za kwake na za kwao basi ndo unakua shida kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…