Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
mkuu shukrani kwa neno lako ila unafikr davido alisema they cheated again because last year bba walicheat hvyo hvyo? kwa kumpa dilish wa ethiopia? jarbu kufikir zaid ya hapo halaf busara ni kitu chepesi sana!
alipa dilish wa Ethiopia badala ya kumpa nani???tuanzie hapo kwanza.
Mi hao wamaotukana kiswahili kwenye hizo page Twitter instagram na kwenye hizo blog wananichosha vibaya saana.... muda mwingine huwa naona hadi aibu kusoma waliyoandika
kwani mondi yeye kamfanya nini davido??? and big brother amedanganya vipi sasa???
Utashangaa sana na ndio utajuwa mswahili wa Tandale alivyo na mashabiki mapunguwani. Jitolee kuwapa kuwalipia kwa Ras Simba, hii ni aibu tunachoreshana bila sababu.
kwani mondi yeye kamfanya nini davido??? and big brother amedanganya vipi sasa???
Mnatutia aibu sana na mnatuchoresha, stop nonsense.
mkuu hebu jaribu kusoma between the line na ujiongeze kuelewa sio kukomaa na ligi
acha kukariri misemo, nisome between the line natafuta nini huko??? mi nimemuuliza boniface salim aliesema hata angeshinda mnamibia the tweet would remain the same, kwamba big has cheated again, so what does this mean??? wewe ukasema ujumbe wa davido ulimlenga big ambae bba iliyopita alimpa dilish wa Ethiopia ndio maana amemuambia 'N they cheated again' ndio nikakuuliza they cheated at first kwa kumpa dilish badala ya kumpa nani??? this time big cheated again kwa kumpa idris badala ya kumpa nani????
Mhhh Matola bana....
Binafsi nimekuwa nikifuatilia hili suala la Diamond kuwa na msuguano na Davido tokea ushindi wa Idris Big Brother na nikiri kuwa Diamond hakupaswa kusema aliyosema dhidi ya Davido kwa sake ya urafiki wao!
Kwanini nasema hivyo? coz thamani ya urafiki waliokuwa nayo haiwezi kupotezwa kirahisi hivyo ingawa kuna watu wanafurahia tena kwa sababu za kitoto, kwa wale walioishasoma novel ya godfather nadhani wananielewa ninapozungumzia thamani ya urafiki! Kwani urafiki ni kama kula tunda na ukimaliza kuipanda mbegu yake ili siku utakapohitaji tena tunda uwe na sehem pa kulipata.
Sasa ninachoona ni giza kubwa mbele yetu sie mashabiki wa Diamond hatuoni ukweli tumejikinga kwenye kivuli cha uzalendo, hatutaki kukubali kuwa Davido kasaidia kupush mafanikio ya Diamond kwa kiasi fulani, mara baada ya number one rmx kutoka milango ilianza kufunguka kwa kasi kwa Diamond na hili wengi hatulioni bado tumefunikwa na kivuli cha uzalendo hatusimami kwny fact! ukitaka kuamini hili nenda youtube kaangalie number one rmx imeangaliwa na watu wangapi dhidi ya original version!
Kwa taarifa yako kuna gape la watu zaidi ya million mbili. Ndyo tunakubal Davido siyo mungu so Diamond hana haja ya kumtetemekea lakini kwa hili alipaswa kuonyesha heshima angalau kidogo kwani alichofanya ni ukosefu wa fadhila wa hali ya juu. mwisho na suggest Diamond afanye mpango amalize hili suala hata kama ni kimya kimya ili kuondoa tension iliyopo sasa.
WaTZ bana! Kwa hali hii CCM itaendelea kuongoza miaka milioni ijayo...
Kwa vile huyo Idrissa kashinda, basi sasa anaonekana alikuwa akipeperusha bendera ya TZ.
Nakumbuka serikali iliwahi kukana kutowatambua washiriki wa huo mchezo. WaTZ wakaungana na serikali yao kuyaponda mashindano; wakisema hayana maadili ya kitanzania n.k.
Sasa jamaa kashinda kitita, kila mtu (sijafahamu serikali kupitia wizara husika imesemaje juu ya ushindi huo) anasema Idrissa alikuwa akituwakilisha waTZ.
Pheeewww.
Tumia akili katika hoja zako wewe. Hakuna mtu yeyote aliyosema kuwa Idris alikwenda kuiwakilisha serikali au kuiwakilisha CCM bali ukweli n kwamba alikwenda kuiwakilisha Tanzania.
Naimani utakuwa unajua kuwa i uweze kushiriki ni lazima uteuliwe kutoka katika nchi yako na wakupendekeze uende kuwakilisha Taifa fulani. Na ndiyo maana licha ya majina yao washiriki pia hutambulika kwa utaifa wao. Hivyo bila kujali msimamo wa serikali ukweli ni kwamba Idriss alikuwa ni muwakilishi wa Tanzania
Tumia akili katika hoja zako wewe. Hakuna mtu yeyote aliyosema kuwa Idris alikwenda kuiwakilisha serikali au kuiwakilisha CCM bali ukweli n kwamba alikwenda kuiwakilisha Tanzania.
Naimani utakuwa unajua kuwa i uweze kushiriki ni lazima uteuliwe kutoka katika nchi yako na wakupendekeze uende kuwakilisha Taifa fulani. Na ndiyo maana licha ya majina yao washiriki pia hutambulika kwa utaifa wao. Hivyo bila kujali msimamo wa serikali ukweli ni kwamba Idriss alikuwa ni muwakilishi wa Tanzania