Kuna wakati ukifungua soda ukitazama kwa umakini kunakuwa na kitu kama kutu kuzunguka kwenye mdomo wa chupa na kisoda pia, wakati mwingine ufunguaji mbaya wa chupa unaweza sababisha mipasuko inayoleta particles ndogo ndogo za chupa kwenye mdomo wa chupa ambazo zinaweza kuwa hatari kwa mnywaji.
Unapofuta kwa tissue unajaribu kuondoa hayo niliyoyaorozesha juu.
👊🏻👊🏻👊🏻Cheers [emoji1635]
Yeah ilijazwa but hatuna uhakika kama kwenye mdomo palioshwa vizuri..Si ilirudi kiwandani kujazwa upya.? [emoji3][emoji3][emoji3]
Sio soda za plastiki mkuu, namaanisha chupa iwe ya kigae kama kawaida ila ufuniko uwe wa plastiki, ule ufuniko wa bati unaweka rust.Careem
Soda za ‘plastic’ zipo mkuu, lakini ladha yake ni tofauti kabisa aisee... yaani ni ya hovyo.
Kuhusu sababu ya kutu na chupa kumeguka ina-make sense, nakubali.
Sifutagi.Umuofia kwenu!
Niwarejeshe kwenye mada, inaeleweka bila mbwembwe, labda kama ni mimi tu.
Ni pale tukifungua soda kuondoa kizibo, wengi wetu hufanya kupitisha kiganja au kidole ili kufuta ‘kimdomo’ cha chupa, hii huwa na maana gani hasa?
Na sababu kama zipo, faida zake?
Picha.? Binafsi sina, labda atokee muungwana.
Maisha ni kuyafurahia, karibuni.