Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Umuofia kwenu!
Niwarejeshe kwenye mada, inaeleweka bila mbwembwe, labda kama ni mimi tu.
Ni pale tukifungua soda kuondoa kizibo, wengi wetu hufanya kupitisha kiganja au kidole ili kufuta ‘kimdomo’ cha chupa, hii huwa na maana gani hasa?
Na sababu kama zipo, faida zake?
Picha.? Binafsi sina, labda atokee muungwana.
Maisha ni kuyafurahia, karibuni.
Niwarejeshe kwenye mada, inaeleweka bila mbwembwe, labda kama ni mimi tu.
Ni pale tukifungua soda kuondoa kizibo, wengi wetu hufanya kupitisha kiganja au kidole ili kufuta ‘kimdomo’ cha chupa, hii huwa na maana gani hasa?
Na sababu kama zipo, faida zake?
Picha.? Binafsi sina, labda atokee muungwana.
Maisha ni kuyafurahia, karibuni.