Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wanaopora, kujeruhi na kuua raia wasiuawe kwa risasi maana ni hasara kwa nchi, wapigwe kiberiti.
Mkuu huyo usibishane nae Ni ktk Lile kundi linalounga mkono mtuhumiwa kuuawa...hajui kwa nn serikali ina mahakama na magereza....unamuua panyaroad halaf unuacha mwizi wa trillions....Ni upumbavu kuutoa uhai wa mtu kwa Hoja nyepesi..Tofautisha wanaopora, kujeruhi na kuuwa raia bila kujali ni vijana au wazee na watuhumiwa walioko mikononi mwa polisi.
Mkuu huyo usibishane nae Ni ktk Lile kundi linalounga mkono mtuhumiwa kuuawa...hajui kwa nn serikali ina mahakama na magereza....unamuua panyaroad halaf unuacha mwizi wa trillions....Ni upumbavu kuutoa uhai wa mtu kwa Hoja nyepesi..
Kwaiyo kupora, kujeruhi na kuua ni hoja nyepesi?Mkuu huyo usibishane nae Ni ktk Lile kundi linalounga mkono mtuhumiwa kuuawa...hajui kwa nn serikali ina mahakama na magereza....unamuua panyaroad halaf unuacha mwizi wa trillions....Ni upumbavu kuutoa uhai wa mtu kwa Hoja nyepesi..
Kwa bahati mbaya ndio lugha pekee ambayo panya road waliielewa....so sad!Kwamba kuna wanaokenua watuhumiwa kuuwawa wakiwa mikononi mwa polisi?
Kwaiyo kupora, kujeruhi na kuua ni hoja nyepesi?
Kwa bahati mbaya ndio lugha pekee ambayo panya road waliielewa....so sad!
Mkuu huyo usibishane nae Ni ktk Lile kundi linalounga mkono mtuhumiwa kuuawa...hajui kwa nn serikali ina mahakama na magereza....unamuua panyaroad halaf unuacha mwizi wa trillions....Ni upumbavu kuutoa uhai wa mtu kwa Hoja nyepesi..
Unajibu kwa jazba za kijinga.Ndiyo lugha pekee? Ndiyo Samia anavyosema, CCM au polisi?
Unajibu kwa jazba za kijinga.
Nimesema, 'Kwa bahati mbaya panya road waliacha kusumbua baada ya baadhi yao kuuawa'.
Ni nini ambacho hujakielewa hapo!?
Hamia KenyaAma kweli atakuwapo aliyeturoga.
View attachment 2392808
Kwamba kuna wanaokenua watuhumiwa kuuwawa wakiwa mikononi mwa polisi?
Kwa hakika safari yetu kuelekea haki kwa wote ingali bado kuanza.
Mpuuzi ni wa kupuuzwa!Sijajibu nimeuliza. Sentensi zangu 2 zote ni maswali.
Mwenye jazba za kijinga usiye tofautisha maswali na majibu ni wewe ndugu policeman.
Ila tusisahau kuwa Kingai ndiye DCI. Hapa bado hatujakaa sawa.Sisi hapa Jinamizi na "Wasiojulikana" wake wamesambaratishwa na Maulana.
Tumsifu Yahweh.