imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Huyo Karma inaenda kummaliza muda sio mrefu.Ila tusisahau kuwa Kingai ndiye DCI. Hapa bado hatujakaa sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Karma inaenda kummaliza muda sio mrefu.Ila tusisahau kuwa Kingai ndiye DCI. Hapa bado hatujakaa sawa.
Usithubutu kumtetea mtanzania anayeonewa atakuacha solemba, utumwa ni fahari yetu.Ama kweli atakuwapo aliyeturoga.
View attachment 2392808
Kwamba kuna wanaokenua watuhumiwa kuuwawa wakiwa mikononi mwa polisi?
Kwa hakika safari yetu kuelekea haki kwa wote ingali bado kuanza.
Usithubutu kumtetea mtanzania anayeonewa atakuacha solemba, utumwa ni fahari yetu.
Hamia Kenya
Ndivyo nilivyofanya kukupuuza taslimu!Mpuuzi ni wa kupuuzwa!
Watanzania Wengi wanakuaga na mihemko ya kipuuzi sana sana, wameua vijana Wengi kwa kisingizio Cha Panyaroad
Lisu ni mtanzania kama tulivyo mimi na wewe. Kwahiyo akifanya jema nitamsifu kwa wema, akifanya mabaya nitamponda kwa mabaya.Mkuu tofautisha mijinga na mtanzania. Watanzania waaojitambua wagalipo.
Lililokuwa taifa la kupigiwa Mfano halipo tena
Ukimchanganya na Mr Dudumizi kwamba ana jema la kuwongelea Lissu ujue umeingia chaka.
Lisu ni mtanzania kama tulivyo mimi na wewe. Kwahiyo akifanya jema nitamsifu kwa wema, akifanya mabaya nitamponda kwa mabaya.
Mimi namshukuru Mungu nipo huru kuandika chochote na kumsifu yeyote iwe Lisu, Magufuli, Samia, Zito nk.
Tofauti na wewe ambae hauwezi kumsifu mtu ambae mwenyekiti wako hajakwambia usimsifu hata kama aliyoyafanya yanastahili kusifiwa na kupongezwa.
Tumeona wengi mlivyokuwa mnamponda Magufuli hata kwa yale mazuri aliyokuwa anayafanya kwa taifa. So lazima tutofautiane mawazo kati ya mimi ambae niko huru na wewe ambae post zako zinachunguzwa na viongozi wako ili kujua umeandika post yenye mlengo gani.
Kenya wanajitambua mnooo, huwezi katu kuifananisha na shithole country kama Tanzania.Ama kweli atakuwapo aliyeturoga.
View attachment 2392808
Kwamba kuna wanaokenua watuhumiwa kuuwawa wakiwa mikononi mwa polisi?
Kwa hakika safari yetu kuelekea haki kwa wote ingali bado kuanza.