Puncler
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 1,386
- 1,888
Na Pep Guardiola ni nani hapo?Mwigulu, Ndugulile na Zungu ndio viungo wachezeshaji kama enzi za xavi,iniesta, na busquets...halafu mama ndio anaupiga mwingi...yeye ni Messi, anamaliza mchezo wote wa miamala[emoji1787][emoji1732][emoji205]
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]