Na Pep Guardiola ni nani hapo?Mwigulu, Ndugulile na Zungu ndio viungo wachezeshaji kama enzi za xavi,iniesta, na busquets...halafu mama ndio anaupiga mwingi...yeye ni Messi, anamaliza mchezo wote wa miamala[emoji1787][emoji1732][emoji205]
Kodi ya kulala na mkeo maana limeonekana eneo linalokuwa kwa kasi sana hapo mjengoni kwako😂Kila kona ni vilio vya kusaga meno aisee, Miamala tozo, vocha nazo tozo...what next? [emoji848]
Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
Ccm hamjawahi kuwa upande wa wananchiRIP Magufuli[emoji42]
MpangoNa Pep Guardiola ni nani hapo?
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Tena ccm kumejaa vilaza hatari.Ccm hamjawahi kuwa upande wa wananchi
Upande mmoja kivipi mkuu? Kwani wabunge hawatumii simu?hivi kwanini wasiangalie na posho au mishahara ya wabunge. kwa nini wanaangalia upande mmoja...
lakin mishahara yao ni mzigo kwa nchi ya uchumi wetu..kwa miaka mitano mtu anapata xaidi ya 700m ni ajabuUpande mmoja kivipi mkuu? Kwani wabunge hawatumii simu?
Kwa nini hii logic isitumike kwenye Miamala, kwamba makato yakiwa chini basi Watumiaji watakuwa wengi?.Kwa hesabu rahisi vileo vinachangia pato kubwa sana nadhani ndiyo vinaongoza kwa makusanyo kwa hiyo kupunguza bei ni kuongeza watumiaji huwenda tukakusanya zaidi ya kile tulichopunguza
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]niache mkuuKodi ya kulala na mkeo maana limeonekana eneo linalokuwa kwa kasi sana hapo mjengoni kwako[emoji23]
HAWASHINDWI HAWAKodi ya kulala na mkeo maana limeonekana eneo linalokuwa kwa kasi sana hapo mjengoni kwako😂
Mbona bei za vileo ziko pale pale,au waliwapunguzia watu wa viwandani na si walaji?Kwa hesabu rahisi vileo vinachangia pato kubwa sana nadhani ndiyo vinaongoza kwa makusanyo kwa hiyo kupunguza bei ni kuongeza watumiaji huwenda tukakusanya zaidi ya kile tulichopunguza
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app