Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
John John Mnyika alishaweka angalizo mapema sana kuhusu chanjo ya COVID-19, sasa angalieni kilichosemwa leo .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huna hojaHiyo ndio Tume mwenyekiti wake kavaa barakoa kata ''K''
una umri gani ?Nilikimbilia kufungua huu uzi nikijua kuna bonge la content... Chedema bhana... Nawapenda ila sometimes mnazingua kwa huu ukurupukaji...
Under 18una umri gani ?
Uzuri wa hii kitu inaua ghafla tu , ngoja tuone kama kesho utakuwepoUkusikiliza sana wanasiasa unaweza ogopa sana kuhusu hili gonjwa, laikin ukiludi mtaani kwako/katika jamii unayoishi yanayoongelewa n tofauti na uhalisia, naona tunaamuwa kwenda na trending ya WHO ila hakuna uhalisia huo.
CORONA ipo ila n kama magonjwa mengine, coz toka itangazwe kuingia nchini cjawai vaa barakoa, nashinda kwenye mikusanyiko na bado afya yangu na watu tunaonana mala zote wote tupo salama.
Naamini katika upinzani ila tusiwafanye kama ndio miungu watu kwamba kila wanaloongea ni sahihi, mapambano dhidi ya covid na Magu yaliendeshwa vizuri
Maza anataka kuanza kucheza mziki ambao hajui mapigo yanaendaje...Ukusikiliza sana wanasiasa unaweza ogopa sana kuhusu hili gonjwa, laikin ukiludi mtaani kwako/katika jamii unayoishi yanayoongelewa n tofauti na uhalisia, naona tunaamuwa kwenda na trending ya WHO ila hakuna uhalisia huo.
CORONA ipo ila n kama magonjwa mengine, coz toka itangazwe kuingia nchini cjawai vaa barakoa, nashinda kwenye mikusanyiko na bado afya yangu na watu tunaonana mala zote wote tupo salama.
Naamini katika upinzani ila tusiwafanye kama ndio miungu watu kwamba kila wanaloongea ni sahihi, mapambano dhidi ya covid na Magu yaliendeshwa vizuri
upumzike kwa amaniKama ntakufa n kwasababu nyingine na sio CORONA
Uzuri wa hii kitu inaua ghafla tu , ngoja tuone kama kesho utakuwepo
Kabisa yan, tumeshindwa kuchukulia uhalisia wa mitaani kwetu, wanataka kutuamshia hofu mpyaMaza anataka kuanza kucheza mziki ambao hajui mapigo yanaendaje...
Kuna watu wanakuza issue ya corona mpaka ukiwasikiliza unaweza ogopa kutoka ndani kwako.
Maza anataka kuanza kucheza mziki ambao hajui mapigo yanaendaje...
Kuna watu wanakuza issue ya corona mpaka ukiwasikiliza unaweza ogopa kutoka ndani kwako.
sema AminaTusitishane
Nazan utatangulia, kila la kheriupumzike kwa amani
😆😆😆Nazan utatangulia, kila la kheri
Mi bado nponpo sana
Aminasema Amina
Ndo madhara ya kushikiwa akili haya.Tunataka kuiga baadhi ya mambo yanayofanywa na nchi zinazopelekeshwa mchakamchaka na hili gonjwa kuliko hali tuliyonayo.