Kuna vitoto humu sometimes ignore some commentsuna umri gani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitoto humu sometimes ignore some commentsuna umri gani ?
Chadema mmefilisika kisiasa yaani haya mafua na maigizo ya watawala na nyie mnashangilia ujinga kumbuka mtu mwerevu akikuambia jambo la kijinga na wewe ukalikubali atakudharau na kukuona kilaza kama alivyo katili dikteta MboweMh John Mnyika alishaweka angalizo mapema sana kuhusu chanjo ya corona , sasa angalieni kilichosemwa leo .
View attachment 1788973
Chadema ni mshirika wa ubeberu tu. Hapo ni baada ya hila za kibeberu kufaulu. Huko ulaya kwenyewe wananchi wameshagundua corona ni mpango tu wa mabepari wa dawa kujitajirisha zaidi kwa kuiteka nyara dunia kwa kuitia hofu kwa ugonjwa wa kawaida tu. Ndio maana wameanza kufanya maandamano kujikomboa na malockdown ambapo kila mjanja akiwanyanyasa kwa kuwaibia hela kwa hila na kuwaletea dhiki.Mh John Mnyika alishaweka angalizo mapema sana kuhusu chanjo ya corona , sasa angalieni kilichosemwa leo .
View attachment 1788973
Hiki mnachojaribu kutuaminisha ni proof tayari.Naomba official Proof kuwa umejazwa hofu
Huyu Mungu tunaye tanzania tu.wewe sema corona haijatusumbua sana nchi za ukanda wetu nasio Tanzania tu.wala sio Mungu wala hayo malimao wala Jpm aliyesababisha corona isitusumbue sana.sasa swala la watu kuishi vizuri tu mtaani jana haimfanyi kiongozi mwenye akili asiwaze kutafuta njia mapema namna yakufanya endapo hali itakua mbaya nchi kwake.Corona bado haina dawa kwahiyo haimaanishi kwavile jana haikutusumbua basi ndo kitufanye leo tusichukue tahadhari kipi chakufa endapo yatatukuta.njia za magufuli zilizaa matunda Sana
Angalia Hali ya Corona ya Tanzania na nchi jirani NI sawaa!?.
1.kumuomba mungu.
2.nyungu.
3.malimao na tanga wizi
hizi njia ndo zimetufikisha hapa.
Na Sisi NI mashahidi huko mitaani hakuna wagonjwa wa Corona na watu wanaishi kama kawaida
Kwenye msiba WA maalim seif na magufuli watu walitabiri mwezi wa 5 mwaka huu.
Hospital nyingi zitajaa wagonjwa wa Corona.
KIPO WAPI?.
N.B MTEGEMEA MUNGU HAKOSI LAKE FUNGU.
Huyu Mungu tunaye tanzania tu.wewe sema corona haijatusumbua sana nchi za ukanda wetu nasio Tanzania tu.wala sio Mungu wala hayo malimao wala Jpm aliyesababisha corona isitusumbue sana.sasa swala la watu kuishi vizuri tu mtaani jana haimfanyi kiongozi mwenye akili asiwaze kutafuta njia mapema namna yakufanya endapo hali itakua mbaya nchi kwake.Corona bado haina dawa kwahiyo haimaanishi kwavile jana haikutusumbua basi ndo kitufanye leo tusichukue tahadhari kipi chakufa endapo yatatukuta.
Unataka hadi ugongwa ushamiri sana nchini ndo viongozi waanze kukimbizana kufikiria nini cha kufanya. wewe ungekua kiongozi watu wako wangeangamia maana unaiishi jana bila kufikiria kesho na kesho kutwa itakuwaje.hakuna mtu anayemtisha mtu ila ni lazima kama nchi iwe na mambo yakufanya ili kuchukua tahadhari maana huu ni ugonjwa na huwezi kujua ukishamiri nchini impact yake itakuaje kulingana na mazingira na uwezo wa nchi.kwahiyo wacha viongozi wajipange kwa jinsi wanatavyoona yafaa.Ukusikiliza sana wanasiasa unaweza ogopa sana kuhusu hili gonjwa, laikin ukiludi mtaani kwako/katika jamii unayoishi yanayoongelewa n tofauti na uhalisia, naona tunaamuwa kwenda na trending ya WHO ila hakuna uhalisia huo.
CORONA ipo ila n kama magonjwa mengine, coz toka itangazwe kuingia nchini cjawai vaa barakoa, nashinda kwenye mikusanyiko na bado afya yangu na watu tunaonana mala zote wote tupo salama.
Naamini katika upinzani ila tusiwafanye kama ndio miungu watu kwamba kila wanaloongea ni sahihi, mapambano dhidi ya covid na Magu yaliendeshwa vizuri
Zipo nyingi tu.Kwani uko south sudani,eritrea,djibouti haziwezi kua nchi za ukanda wetu?.Au hadi niitaje nchi gani ndo utajua ninachokimaanisha.Na zipo nyingi tu ambazo hazina tofauti sana na sisi tena wao walikua wanatoa taarifa zao vyema kulingana na hali ya maambukizi tofauti na hapa kwetu walivyokua hawatoi.Kama hali itaendelea kua hivi tutashukuru na nakama hali itakuja kuharibika serkali imeshaanza kujipanga kupitia wataalamu wake.Ifike mahali tusijione special sana wakati hatuna chochote cha maana.Nchi gani nyingine ambayo IPO ukanda wetu haijasumbuliwa na Corona?
Zipo nyingi tu.Kwani uko south sudani,eritrea,djibouti haziwezi kua nchi za ukanda wetu?.Au hadi niitaje nchi gani ndo utajua ninachokimaanisha.Na zipo nyingi tu ambazo hazina tofauti sana na sisi tena wao walikua wanatoa taarifa zao vyema kulingana na hali ya maambukizi tofauti na hapa kwetu walivyokua hawatoi.Kama hali itaendelea kua hivi tutashukuru na nakama hali itakuja kuharibika serkali imeshaanza kujipanga kupitia wataalamu wake.Ifike mahali tusijione special sana wakati hatuna chochote cha maana.
Ungekuwa ni wakushamili ungekuwa ushashamili kitambo, ni mwaka na miezi kazaa mpaka sasa toka ugonjwa uingie nchini, hatujawai kuwa na lockdown, mikusanyiko ndo maisha yetu, kunaempact gan ya kututisha iliyotokea mpaka tureact kiasi hiki, ndo maana nasema tusitishane, wacha tuishi maisha tuliyoyazoea, CORONA ipo na tutaishinayo kama tunavyoishi na kifua kikuu, mafua, malaria na ukimwi.Unataka hadi ugongwa ushamiri sana nchini ndo viongozi waanze kukimbizana kufikiria nini cha kufanya. wewe ungekua kiongozi watu wako wangeangamia maana unaiishi jana bila kufikiria kesho na kesho kutwa itakuwaje.hakuna mtu anayemtisha mtu ila ni lazima kama nchi iwe na mambo yakufanya ili kuchukua tahadhari maana huu ni ugonjwa na huwezi kujua ukishamiri nchini impact yake itakuaje kulingana na mazingira na uwezo wa nchi.kwahiyo wacha viongozi wajipange kwa jinsi wanatavyoona yafaa.