simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
CCM inasemaje?CCM is supreme. CCM inasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawanampeleka mmoja halafu viongozi wanakuwa 60 hapo ndipo kunamaajabu mengine tena.Tuna tatizo kubwa la kimkakati linaloanzia kwenye Taifa mpaka hizi ngazi za chini kiuongozi, huwezi kuamini kuna watu ni viongozi miaka rudi nenda na bado ukifika uchaguzi wanachaguliwa tena ili hali hakuna walichofanya muda wao wa uongozi,.
Ili tuweze kusonga mbele tunatakiwa kuwa na shule za michezo kuanzia primary na kuendelea hapo tunaweza kupiga hatua. Yaani kwasasa viongozi wapo ofisini wakisubiri mtu ajitume mwenyewe afanye mazoezi aonekene na wadau kisha wao ndio wanaenda kumdandia na kumpeleka kwenye mashindano.
Ajabu sana Mkuu, fikiria eti wameenda wanariadha 3 na viongozi 4, tutatoka kweli kwenye hizi mambo? Viongozi wa michezo ni wale wale kila siku, huko riadha miaka na miaka ni wale wale, volleyball, basketball nk, Hivi Bayi bado ni kiongozi ama alishaacha?Nawanampeleka mmoja halafu viongozi wanakuwa 60 hapo ndipo kunamaajabu mengine tena.
Huwezi kuwa bora kwenye kila kitu, Marekani na umwamba wake wote ule lakini football team yao sio kali kivile
Yuko bize na mbowe na tozoWale wanaofatilia Olympics wataona kuna nchi kama Bahamas ina Wanamichezo wengi kwenye hii Olympics kuliko sisi. Cha ajabu idadi ya watu huko Bahamas ni laki tatu tu. Sisi wenye milioni 60 tunashindwaje?
Jamaica idadi ya watu milioni 3 tu kama nusu ya wakazi wa Dar. Ajabu wana wanamichezo wengi sana kutuzidi.
Hivi kweli Taifa la watu milioni 60 haya warussha tufe Tu hatuna?
Nchi kama Botswana..Qatar..zimetushinda?
Uganda , Namibia?..
Waziri wa michezo anafanya shughuli gani?
Huwezi kuwa bora kwenye kila kitu, Marekani na umwamba wake wote ule lakini football team yao sio kali kivile
Marekani mpira wa miguu sio kipaumbele chao.wana mpira wao na wanautendea haki.Huwezi kuwa bora kwenye kila kitu, Marekani na umwamba wake wote ule lakini football team yao sio kali kivile
Fungu lakukosa linatokana na aina ya viongozi tulionao.Na viongozi tulionao wanatokana na siasa,kwahiyo utaona tu kua ukishakua na siasa mbovu lazima uwe na viongozi wabovu.na viongozi wabovu wanatoa matokeo mabovu.Sio kweli...sisi ni fungu la kukosa tu..
Hiyo wewe unaiona haina faida?.mbona watu wanaongea mambo ya msingi sana.au unataka watu wasichokoze fikra hili tuendelee kua wajinga zaidi.Muda mwingi tunautumia kwenye siasa
Fikiria saa hii watu wako Space, kesho wako hoi unategemea nini, tunaishi kwa ujanja ujanja tu, kuiba zilizopo bila kuzizalisha
3.kutoa lugha za kejeli kwa wananchi wanapohoji au kulalamikia ugumu wa maisha1. Kuiba kura.
2. Kubambizia kesi wapinzani
3.
4...
Usinifanyie udikteta nikose uhuru wa kutoa mawazo. Hayo ni mawazo yanguHiyo wewe unaiona haina faida?.mbona watu wanaongea mambo ya msingi sana.au unataka watu wasichokoze fikra hili tuendelee kua wajinga zaidi.
Olympic committee yetu ni ya wala rushwa na watu wasiofaa kokoteWale wanaofatilia Olympics wataona kuna nchi kama Bahamas ina Wanamichezo wengi kwenye hii Olympics kuliko sisi. Cha ajabu idadi ya watu huko Bahamas ni laki tatu tu. Sisi wenye milioni 60 tunashindwaje?
Jamaica idadi ya watu milioni 3 tu kama nusu ya wakazi wa Dar. Ajabu wana wanamichezo wengi sana kutuzidi.
Hivi kweli Taifa la watu milioni 60 haya warussha tufe Tu hatuna?
Nchi kama Botswana..Qatar..zimetushinda?
Uganda , Namibia?..
Waziri wa michezo anafanya shughuli gani?