Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah nipo mjini na picha nataka itumia ni still mkuu.Tuwasiliane leo ili kazi yako ifanyike then nitaiacha sehemu na utaichukua hiyo Jumamosi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kwa UshauriKila kitu kiweke hapo page ya kwanza.mmy friend
Sijakupata vyema mkuu.Dah nipo mjini na picha nataka itumia ni still mkuu.
Yaani picha niliyonayo ni ile iliyopigwa tayari na nimeshatoka home nipo mjini.
Okay na hakuna namna yoyote ya kuipata hadi urudi nyumbani?Yaani picha niliyonayo ni ile iliyopigwa tayari na nimeshatoka home nipo mjini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Zinapatikana sasa sijui wewe unataka size gani.Naomba kuuliza mkuu...
Mashine za kuprint mbao zinauzwa sh ngapi?? Zapatikana sehemu gani??
NB. Nipo tarime ndani ndani huku gari mpaka siku ya mnada[emoji28]
Ni mimi tu nkiwahi ntakfika wafunga saa ngapi.
Saa kumi na moja na nusu jioni.Ni mimi tu nkiwahi ntakfika wafunga saa ngapi.
Poa poaSaa kumi na moja na nusu jioni.
Kama itakuwa changamoto tufanye jpili mapema
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee nipo mabibo jua jua.Tunafanya Printing.
1. PICHA MBAO
2. PICHA ZA FREMU YA KIOO
3. SAA yenye PICHA YAKO
Picha kwa ajili ya KUMBUKUMBU yako, Familia.
Picha kwa ajili ya ZAWADI kwa Umpendae
Picha kwa ajili MAPAMBO.
BEI ZA PICHA MBAO
A4 - 12,000
A3 - 16,000
A2 - 35,000
A1 - 48,000
BEI PICHA FREMU ZA KIOO
A4 - 8,500
A3 - 14,000
BEI SAA YENYE PICHA YAKO
A4 - 36,000
A3 - 45,000
A2 - 85,000
[emoji419]Location: MABIBO Jirani na Chuo cha NIT
[emoji345] Tuko wazi kila siku kasoro siku ya JUMAMOSI tu.
Free Delivery Dar es Salaam City,
Mkoani unachangia gharama ya Tsh 5,000/= Usafiri.
Contact: 0759 413 270 (Call/Whatsapp)
K A R I B U N I S A N A.
.....................................................................
View attachment 2502310
Mkuu maelekezo nipo hiyo njia ya kuelekea chini.Picha MbaoView attachment 2502317
Pole Mkuu, [emoji3][emoji3][emoji3] Nadhani uliona nilivyokuwa nimetingwa na Umeme ulikuwa umekatika kwhy watu wanakuwa wengi kdg kwhy hata muda wa kuingia Online unakuwa mdogo.Mkuu maelekezo nipo hiyo njia ya kuelekea chini.
Iliisha mkuu, wakuu karibuni mkamuunge mkono mkuu mwenzetu.Pole Mkuu, [emoji3][emoji3][emoji3] Nadhani uliona nilivyokuwa nimetingwa na Umeme ulikuwa umekatika kwhy watu wanakuwa wengi kdg kwhy hata muda wa kuingia Online unakuwa mdogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana MkuuIliisha mkuu, wakuu karibuni mkamuunge mkono mkuu mwenzetu.