Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani sana.Hakuna biashara nzuri ka sasa Bongo ambapo ukakuta mtu anadisplay kazi yake, bei zake, mawasiliano na locstion,
Biashara zote saivi zimegeuka utapeli, mtu anapost maelf ya bidhaa ila bei utasikia njoo DM.
Hongera brother ila usije zidiwa na wateja na ww ukaanza kuwaweka sasa, hakikisha kama una kaz nyingi mwambie mteja, usimwambie kesho mchana anafika mchana hata kaz hujaanza itaharibu kaz