Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demokrasia nchini imewezesha mazungumzoMaduka Kariakoo yamefunguliwa wananchi wanachapa KAZI. Asanteni
bado ZanzibarMaduka Kariakoo yamefunguliwa
Picha linaanza kiongozi keshakamatwa,,,,,wakenya ni wakenya na wabongo ni wabongoWameahidiwa Tena Hadi hewa na kukubali?Tanzania kujikomboa kama Kenya Bado sana.
Hakika tunajifunza kila iitwapo leoTulijua tu hawatafika mbali. Migomo itakuwa bongo bhn
Hivi matakwa yao yamesikilizwa
Unajua Uchumi wa Soko huria?Hivi matakwa yao yamesikilizwa?!
HakikaUnajua Uchumi wa Soko huria?
Sana lo migomo sio poaaa
Wamepata kilichowafanya wagome au maneno ya RC Chalamila ndio yametimia kwamba HAKUNA mfanyabiashara mwenye uwezo wa kufunga biashara kwa wiki nzima?Maduka Kariakoo yamefunguliwa wananchi wanachapa KAZI. Asanteni