Tunashukuru Mwalimu Nyerere kwa kutuletea Mzee Mkapa. Sina uhakika ni nani alisuka Mpango wa Magufuli, ila alitufaa sana

Tunashukuru Mwalimu Nyerere kwa kutuletea Mzee Mkapa. Sina uhakika ni nani alisuka Mpango wa Magufuli, ila alitufaa sana

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Ukitaka uwapange Ma Rais wetu watano kwa ufasaha sana kwa namna walivyoitendea nafasi waliyopewa ya kuongoza Nchi pamoja na mapungufu na kushindwa kutupatia katiba Mpya utawaweka kama ifuatavyo .

1. Hayati Benjamin Mkapa
Aliamini ukiwa na Taasisi zilizo imara basi utaweza kuwa na uchumi na maisha bora , hivyo alianzisha na kuendeeza taasisi mbali mbali ambazo mpaka sasa zina manufaa kwa Taifa kama:-
The National Health Insurance Fund(NHIF) (Mfuko wa Bima Taifa)
Tanzania Revenue Authority (TRA) (Mamlaka ya Mapato Tanzania)
Tanzania National Roads Agency (TANROADS) (Wakala wa Barabara Tanzania)
Tanzania Social Support Fund (TASAF) (Mfuko wa Jamii)
Tanzania Commission for AIDs (TACAIDS) (Tume ya Kupambana na Ugonjwa wa Ukimwi).
Tanzania Poverty Reduction Strategy (MKUKUTA) (Mkakati wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi Tanzania).
Property and Business Formalization Program (BFFP) (Mpango wa Kuimarisha Raslimali na Biashara (MKURABITA).
National Business Council (NBC) (Baraza la Biashara la Taifa (BBT).
Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) (Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania).

Shukrani kwa baba wa Taifa kwa kutuletea Mkapa.

2. Hayati Mwalimu Nyerere
Alikuwa mzalendo, alipenda kushirikiana na aliamini Tanzania tunahitaji zaidi elimu ya UFUNDI.

3. Hayati Magufuli
Aliamini katika kulinda Mali za Nchi na kusisitiza watanzania tufanye kazi, sina hakika kama CCM walimleta huyu maana sote tulinyooka haswa.

4. Jakaya Kikwete
Aliamini kila mtanzania anastahili maisha bora, ndio kipindi ambacho watanzania wengi walifurahia sana maisha .Alijenga miundombinu mbali mbali nchini.

5. Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi
Aliamini katika watu kumiliki mali na pesa.​
 
Ukitaka uwapange Ma Rais wetu watano kwa ufasaha sana kwa namna walivyoitendea nafasi waliyopewa ya kuongoza Nchi pamoja na mapungufu na kushindwa kutupatia katiba Mpya utawaweka kama ifuatavyo .

1. Hayati Benjamin Mkapa
Aliamini ukiwa na Taasisi zilizo imara basi utaweza kuwa na uchumi na maisha bora , hivyo alianzisha na kuendeeza taasisi mbali mbali ambazo mpaka sasa zina manufaa kwa Taifa kama:-











Shukrani kwa baba wa Taifa kwa kutuletea Mkapa.

2. Hayati Mwalimu Nyerere
Alikuwa mzalendo, alipenda kushirikiana na aliamini Tanzania tunahitaji zaidi elimu ya UFUNDI.

3. Hayati Magufuli
Aliamini katika kulinda Mali za Nchi na kusisitiza watanzania tufanye kazi, sina hakika kama CCM walimleta huyu maana sote tulinyooka haswa.

4. Jakaya Kikwete
Aliamini kila mtanzania anastahili maisha bora, ndio kipindi ambacho watanzania wengi walifurahia sana maisha .Alijenga miundombinu mbali mbali nchini.

5. Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi
Aliamini katika watu kumiliki mali na pesa.​
Na SSH????
 
Fomu ni moja tu !
Atakayenuna ahamie Burundi !
Hatutaki UBAGUZI HAPA TZ !
Au mmeshaanza kula Nyama za Watu ??!
Mwalimu alishaonya kitambo sana !
Shauri yenu 😳🙄 !
 
Japo hata mimi namkubali sana Madelu
P
Kwa utaratibu wa rais kutoka kwenye cabinet, ( Mkapa, Kikwete,Magufuli, hata Mwinyi nadhani), walitokea ndani ya cabinet ya Rais anayetoka madarakani, hawakuachwa njiani kama Lowasa

Mgombea kuaminiwa na Rais aliye madarakani, Nyerere hakuna na shida/Mgogoro na Mwinyi, Mwinyi hakuna na shida/Mgogoro na Mkapa, Mkapa hakuna na shida/Mgogoro na Kikwete, as for so Kikwete hakuna na shida/Mgogoro na Magufuli so far Madelu ni kipenzi cha mama Bado na amemuamini kwenye wizara nyeti,

Marais kuanzia BM, JK,JPM walikua na background ya kudumu kwenye cabinet na kuhudumu at least zaidi ya wizara mbili, chini ya Marais wawili kwa ufanisi tofauti, so far kwa CCM huu ndio unaoitwa uzoefu, ingawa Kuna mawaziri wengine Wana hii Sifa kama Bashungwa,Lukuvi, Jafo, Simbachawene, Doto, etc ila Madelu amewazidi kwa kigezo cha Strong Political Mileage kwenye siasa za chama, amewahi kuwa Naibu katibu mkuu bara, alishagombea ujumbe wa NEC Taifa na kishika nafasi ya nne ( Si jambo la kupuuzwa)

Madelu anaweza kuuzika zaidi kuliko remaining candidates wengi ndani ya CCM kwa sababu ana uthubutu mwenyewe, ni mbunifu na ana (hata kwa tai zake za bendera ya Taifa tu😂) then ana political legitimacy ndani ya chama na serikali,
Kipindi CCM kinapitia upinzani mkali kutoka Chadema yenye nguvu enzi za JK ni Madelu pekee wakati akiwa mbunge aliyekua Frontline kupambania kwa kujibu mashambulizi kutoka kwa wapinzani kiasi cha kwamba JK ( M/kiti) aliguswa sana na kumtolea mfano wa kada imara kiasi cha kumvika cheo cha Naibu katibu mkuu
Kingine ana flexibility ya hatari anaziweza siasa za kiuanaharakati mpaka za kidiplomasia,

Hence,
Tulia anahitaji kuuzwa sana unlike Madelu ana asili ya kuuzika mwenyewe so political Profile ya Madelu ni asset kwa CCM zaidi ya Tulia.
 
Back
Top Bottom