Tunashukuru Mwalimu Nyerere kwa kutuletea Mzee Mkapa. Sina uhakika ni nani alisuka Mpango wa Magufuli, ila alitufaa sana

Tunashukuru Mwalimu Nyerere kwa kutuletea Mzee Mkapa. Sina uhakika ni nani alisuka Mpango wa Magufuli, ila alitufaa sana

Kwa utaratibu wa rais kutoka kwenye cabinet, ( Mkapa, Kikwete,Magufuli, hata Mwinyi nadhani), walitokea ndani ya cabinet ya Rais anayetoka madarakani, hawakuachwa njiani kama Lowasa

Mgombea kuaminiwa na Rais aliye madarakani, Nyerere hakuna na shida/Mgogoro na Mwinyi, Mwinyi hakuna na shida/Mgogoro na Mkapa, Mkapa hakuna na shida/Mgogoro na Kikwete, as for so Kikwete hakuna na shida/Mgogoro na Magufuli so far Madelu ni kipenzi cha mama Bado na amemuamini kwenye wizara nyeti,

Marais kuanzia BM, JK,JPM walikua na background ya kudumu kwenye cabinet na kuhudumu at least zaidi ya wizara mbili, chini ya Marais wawili kwa ufanisi tofauti, so far kwa CCM huu ndio unaoitwa uzoefu, ingawa Kuna mawaziri wengine Wana hii Sifa kama Bashungwa,Lukuvi, Jafo, Simbachawene, Doto, etc ila Madelu amewazidi kwa kigezo cha Strong Political Mileage kwenye siasa za chama, amewahi kuwa Naibu katibu mkuu bara, alishagombea ujumbe wa NEC Taifa na kishika nafasi ya nne ( Si jambo la kupuuzwa)

Madelu anaweza kuuzika zaidi kuliko remaining candidates wengi ndani ya CCM kwa sababu ana uthubutu mwenyewe, ni mbunifu na ana (hata kwa tai zake za bendera ya Taifa tu😂) then ana political legitimacy ndani ya chama na serikali,
Kipindi CCM kinapitia upinzani mkali kutoka Chadema yenye nguvu enzi za JK ni Madelu pekee wakati akiwa mbunge aliyekua Frontline kupambania kwa kujibu mashambulizi kutoka kwa wapinzani kiasi cha kwamba JK ( M/kiti) aliguswa sana na kumtolea mfano wa kada imara kiasi cha kumvika cheo cha Naibu katibu mkuu
Kingine ana flexibility ya hatari anaziweza siasa za kiuanaharakati mpaka za kidiplomasia,

Hence,
Tulia anahitaji kuuzwa sana unlike Madelu ana asili ya kuuzika mwenyewe so political Profile ya Madelu ni asset kwa CCM zaidi ya Tulia.
kuvaa hiyo skafu siyo ubunifu ni uchawa tu,madelu ni mbulula wa hali ya juu kama siyo mbulula unathubutu kutumia maneno ya trat na trab bila kujua maana yake tena Kwa mikogo huyu jamaa hata huo uwaziri wa fedha huenda yupo kimkakati tu.
 
Rais bora kwenye ardhi ya Tanzania toka dunia iumbwe ni Ndugu
Alhaj Alli Hassan MWINYI.
2.Mkapa
3.Nyerere
4.Kikwete
5.Magufuli.
 
Kweli we jamaa hututakii mema! umefuatilia ule mhimili lakini? Aisee oh Kumbe mwanasheria mwenzio! Lakini hata mhimili wa mahakama wametuambia tuendelee kukandamizwa na Tamisemi haihitajiki tume huru! STRICTLY SPEAKING WE ARE ON OUR OWN! na huyu ni msomi anashauri tuendelee kubaki misri! WE ARE DOOMED!
 
Ukitaka uwapange Ma Rais wetu watano kwa ufasaha sana kwa namna walivyoitendea nafasi waliyopewa ya kuongoza Nchi pamoja na mapungufu na kushindwa kutupatia katiba Mpya utawaweka kama ifuatavyo .

1. Hayati Benjamin Mkapa
Aliamini ukiwa na Taasisi zilizo imara basi utaweza kuwa na uchumi na maisha bora , hivyo alianzisha na kuendeeza taasisi mbali mbali ambazo mpaka sasa zina manufaa kwa Taifa kama:-











Shukrani kwa baba wa Taifa kwa kutuletea Mkapa.

2. Hayati Mwalimu Nyerere
Alikuwa mzalendo, alipenda kushirikiana na aliamini Tanzania tunahitaji zaidi elimu ya UFUNDI.

3. Hayati Magufuli
Aliamini katika kulinda Mali za Nchi na kusisitiza watanzania tufanye kazi, sina hakika kama CCM walimleta huyu maana sote tulinyooka haswa.

4. Jakaya Kikwete
Aliamini kila mtanzania anastahili maisha bora, ndio kipindi ambacho watanzania wengi walifurahia sana maisha .Alijenga miundombinu mbali mbali nchini.

5. Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi
Aliamini katika watu kumiliki mali na pesa.​
That’s awesome
 
Baada ya kushuhudia uchaguzi wa kidemokrasia unavyofanyika kwa weledi tunarejea kwenye jadi yetu ya ramli na kamari kupata viongozi.

Kijiji hakivuliki kwa mwafrika, hata akihamia na kuishi Manhattan miaka 10. Uwepo wa tunguri ni lazima.
 
Kosa kubwa alilotufanyia watanzania ni kutuachia hii katiba ambayo badala ya utufanya watqnzania tufutahie uhuru wetu sasa inaleta majonzi makubwa mno kwa baadhi ya watanzania hasa wapenda haki na wazalemdo wa kweli.
 
Baada ya kushuhudia uchaguzi wa kidemokrasia unavyofanyika kwa weledi tunarejea kwenye jadi yetu ya ramli na kamari kupata viongozi.

Kijiji hakivuliki kwa mwafrika, hata akihamia na kuishi Manhattan miaka 10. Uwepo wa tunguri ni lazima.
😂😂😂
 
Hata Marekani wametuma meseji duniani kwamba mwanamke hapaswi kuachiwa kuwa.mtoa maamuzi ya mwisho sababu anaongozwa na mahaba. Hisia na ujamaa au undugu. Hivyo vitu vinamfanya asiwe firm kwenye decision making.

Mfano magufuli kwenye ziara anatoa maamuzi magumu ila mama anaweza sema mtoeni huyo anayelalamika anapiga kelele.
 
Back
Top Bottom