Tunashukuru uliweka kifo

Tunashukuru uliweka kifo

Japo kifo kinauma sana lakini kinaleta usawa fulani hivi.
Japo kifo kwa upande wa dini ni kama adhabu , lakini I'm sure kwa aina ya maisha na wanadamu tulivyo sasa hivi na ubinafsi huu kama kusingekuwa na kifo maisha yangekuwa mabaya sana

Yote ya yote pole mleta mada , be calm, hakuna wakati mgumu moja kwa moja.
Kifo ni ibada na sio adhabu
 
Inamana we hautakufa?
Ni wenye mamlaka tu , ndo hufa
Kuti bichi , linacheka kuti kavu lilivyoanguka(halijui na hilo litapitia)
Mi nazani ungefurahia kifo chako, kiwe ndo njia ya kukupeleka mbinguni kupumzika(kama umjiandaa)

But upo unafurahia baba kafa, ili urithi mali
 
Kifo ni ibada na sio adhabu
Kifo sio ibada , huu ni ujinga uliofundishwa na mjinga asiejua kusoma na kuandika
Mbaya zaidi huyo mjinga aliekufundisha njia ya kwenda, alisema hajui anapokwenda na atakachokutana nacho muda kidogo kabla ya kufa
 
Duh ..
Hii January hii... Unaweza waza vitu vya ajabu kabisa .😅🤣
 
Kifo sio ibada , huu ni ujinga uliofundishwa na mjinga asiejua kusoma na kuandika
Mbaya zaidi huyo mjinga aliekufundisha njia ya kwenda, alisema hajui anapokwenda na atakachokutana nacho muda kidogo kabla ya kufa

😂
Duh ..
Hii January hii... Unaweza waza vitu vya ajabu kabisa .😅🤣
Acha tu
 
Back
Top Bottom