Side buggati
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 232
- 182
Kifo ni ibada na sio adhabuJapo kifo kinauma sana lakini kinaleta usawa fulani hivi.
Japo kifo kwa upande wa dini ni kama adhabu , lakini I'm sure kwa aina ya maisha na wanadamu tulivyo sasa hivi na ubinafsi huu kama kusingekuwa na kifo maisha yangekuwa mabaya sana
Yote ya yote pole mleta mada , be calm, hakuna wakati mgumu moja kwa moja.
Kifo sio ibada , huu ni ujinga uliofundishwa na mjinga asiejua kusoma na kuandikaKifo ni ibada na sio adhabu
Kifo sio ibada , huu ni ujinga uliofundishwa na mjinga asiejua kusoma na kuandika
Mbaya zaidi huyo mjinga aliekufundisha njia ya kwenda, alisema hajui anapokwenda na atakachokutana nacho muda kidogo kabla ya kufa
Acha tuDuh ..
Hii January hii... Unaweza waza vitu vya ajabu kabisa .π π€£
KabisaKumbe