Tunasubiri kuona hatua kali zinachukuliwa na BASATA dhidi ya msanii Diamond Platnumz.

Tunasubiri kuona hatua kali zinachukuliwa na BASATA dhidi ya msanii Diamond Platnumz.

Sheria zimewekwa ili zivunjwe..maana kusingekuwa na mahakama.
 
Watanzania waleo wengi wao wanaendeshwa kwa mihemko., huyu msanii kudharau mamlaka kutapelekea ukaidi kwa baadhi ya wasanii pia kwa BASATA. Leo mtanzania anamtetea msanii huyu kisa et ni mlipa kodi shame!
BASATA INAFIKA HADI KENYA AKIWA KENYA JHATATENDA KOSA ILA AKIRUDI NDO ATAHUKUMIWA KWA MUJIBU WA SHERIA TOA KICHWANI MAANA TAFSI ZA SHERIA NI PANA
 
Back
Top Bottom