*Habari wakuu,
Tunatafuta business partner(s) atakayeweza kutoa/kuwekeza angalau 2-2.5 million katika project ya mkaa*
*Raw materials za kuzalisha mkaa huu ni takataka aina zote kasoro makaratasi ya plastic so materials ni nyingi hasa katika miji mikubwa hasa hapa Dar utakapokuwepo huu mradi*
*Mkaa huu utakuwa ni mzito usio na moshi hatarishi na uwakao mara mbili zaidi ya huu tuliouzoea. Pia mkaa huu utakuwa na bei nafuu zaidi ya tuliouzoea hapa itawafanya watu wengi kuukimbilia huu na bei yake itakuwa chini kwa sababu ya urahisi wa upatikanaji wa mali ghafi*
*Masoko: hadi sasa soko la mkaa ni kubwa sana, ukiachana na watumiaji wa majumbani pia kwa nyakati tofauti tulikuwa tukipata oda au connection na kiwanda mojawapo cha kutotoleshea vifaranga kuhitaji nishati hii ila kukosekana kwa mashine yenye uwezo mikubwa basi tumekuwa tukipoteza dili nyingi*
*Tulipofikia na tulipokwama*
*Hadi sasa tupo business partners 5, tumeweza kupata eneo bunju kwa ajili ya ofisi na uzalishaji utafanyikia hapo na pia tumefanikiwa kupata mashine iliyo na uwezo wa kuzalisha takribani tani 3 kwa siku hapo unazungumzia si chini ya 500000 kwa siku baada ya kutoa costs of production*
Tulipokwama na
Tunapohitaji msaada
*Kwa sasa mashine ipo bagamoyo na gharama za kuileta bunju ni roughly 250000, gharama nyingine zitakazofikia/kukaribia 2.5m (including hiyo 250k) ni kwa ajili ya kuandaa kwa haraka miundombinu ya ofisi kuvuta na kufunga umeme wa 3 phase uliopo eneo la tukio*
*Ndugu zanguni nakaribisha partner atakayeweza kututoa tulipokwama na mwisho wa siku atakuwa sehemu ya sisi. Tutakaa, tutamwelekeza zaidi kisha akiona kuwa hii ni fursa kwake kama tuonavyo sisi basi tushirikiane*
*Kwa maelezo zaidi nicheki 0625649078, 0753245261*
Tunatafuta business partner(s) atakayeweza kutoa/kuwekeza angalau 2-2.5 million katika project ya mkaa*
*Raw materials za kuzalisha mkaa huu ni takataka aina zote kasoro makaratasi ya plastic so materials ni nyingi hasa katika miji mikubwa hasa hapa Dar utakapokuwepo huu mradi*
*Mkaa huu utakuwa ni mzito usio na moshi hatarishi na uwakao mara mbili zaidi ya huu tuliouzoea. Pia mkaa huu utakuwa na bei nafuu zaidi ya tuliouzoea hapa itawafanya watu wengi kuukimbilia huu na bei yake itakuwa chini kwa sababu ya urahisi wa upatikanaji wa mali ghafi*
*Masoko: hadi sasa soko la mkaa ni kubwa sana, ukiachana na watumiaji wa majumbani pia kwa nyakati tofauti tulikuwa tukipata oda au connection na kiwanda mojawapo cha kutotoleshea vifaranga kuhitaji nishati hii ila kukosekana kwa mashine yenye uwezo mikubwa basi tumekuwa tukipoteza dili nyingi*
*Tulipofikia na tulipokwama*
*Hadi sasa tupo business partners 5, tumeweza kupata eneo bunju kwa ajili ya ofisi na uzalishaji utafanyikia hapo na pia tumefanikiwa kupata mashine iliyo na uwezo wa kuzalisha takribani tani 3 kwa siku hapo unazungumzia si chini ya 500000 kwa siku baada ya kutoa costs of production*
Tulipokwama na
Tunapohitaji msaada
*Kwa sasa mashine ipo bagamoyo na gharama za kuileta bunju ni roughly 250000, gharama nyingine zitakazofikia/kukaribia 2.5m (including hiyo 250k) ni kwa ajili ya kuandaa kwa haraka miundombinu ya ofisi kuvuta na kufunga umeme wa 3 phase uliopo eneo la tukio*
*Ndugu zanguni nakaribisha partner atakayeweza kututoa tulipokwama na mwisho wa siku atakuwa sehemu ya sisi. Tutakaa, tutamwelekeza zaidi kisha akiona kuwa hii ni fursa kwake kama tuonavyo sisi basi tushirikiane*
*Kwa maelezo zaidi nicheki 0625649078, 0753245261*