Tunatafuta kijana anayejua Computer

Tunatafuta kijana anayejua Computer

Mr_Plan

Senior Member
Joined
Oct 2, 2021
Posts
140
Reaction score
194
Habari Wana JF,hivi karibuni Tumefungua Online Media ambayo bado ni changa...inayojihusisha na mambo ya Burudani hivo Tunaitaji Kijana anayeweza kuendesha Akaunti zetu za Online kama

1.Youtube

2.Website

3.Instagram page

4.facebook page

Pia Ajue program za Editing angalau kidog...Tutafanya kazi kama Team kwa pamoja kwa kushirikiana...Kuusu Malipo Tutabageni kwakuwa Kampuni ndo inaanza.
 
Nina rafiki yangu ni IT Engineer bado anatafuta kazi , i am sure ata
Habari Wana JF,hivi karibuni Tumefungua Online Media ambayo bado ni changa...inayojihusisha na mambo ya Burudani hivo Tunaitaji Kijana anayeweza kuendesha Akaunti zetu za Online kama

1.Youtube

2.Website

3.Instagram page

4.facebook page

Pia Ajue program za Editing angalau kidog...Tutafanya kazi kama Team kwa pamoja kwa kushirikiana...Kuusu Malipo Tutabageni kwakuwa Kampuni ndo inaanza.
Nina rafiki yangu ni IT Engineer, yupo vizuri sema bahati mbaya contract yake imeisha, naomba m consider , anaitwa Neema , namba yake ya simu ni 0757527672. Atakutumia CV yake
 
Nina rafiki yangu ni IT Engineer bado anatafuta kazi , i am sure ata

Nina rafiki yangu ni IT Engineer, yupo vizuri sema bahati mbaya contract yake imeisha, naomba m consider , anaitwa Neema , namba yake ya simu ni 0757527672. Atakutumia CV yake
Sawa
 
Back
Top Bottom