Serikali ya mtaa wanaandaa document inayotambulika kuwa una kiwanja katika mtaa fulani ukubwa wake na majina ya majirani wanasaini na mmiliki anasaini mwisho Mwenyekiti wa serikali ya mtaa anasaini na kuweka muhuri ukienda Bank kama NMB, AKIBA, POSTA wanakubali kwa mkopo mdogo sio wa mamilioni.
Ila kwa wewe uliye Mwanza haitawezekana inabidi kiwanja kiwe Mwanza ili maafisa mikopo wakione au mkopo uombee Arusha.