Habarini wanajamvi,
Mimi na mdogo wangu tunaishi Mwanza kwa kwasasa kunakiwanja tuliachiwa na mama yetu ambaye ni marehemu kwa sasa kipo Arusha Kisongo pia pananyumba mbili za tope squatter.
Nilipenda kujua tunaweza kukiweka rehani tukapewa mkopo bank.
Ila tunaishi Mwanza sijui imekaaje hapo kwa kwawatalamu hakina hati.
0764 759 314 naombeni ushauri hatujuii tuanzie wapi tuishie wapi.
Mimi na mdogo wangu tunaishi Mwanza kwa kwasasa kunakiwanja tuliachiwa na mama yetu ambaye ni marehemu kwa sasa kipo Arusha Kisongo pia pananyumba mbili za tope squatter.
Nilipenda kujua tunaweza kukiweka rehani tukapewa mkopo bank.
Ila tunaishi Mwanza sijui imekaaje hapo kwa kwawatalamu hakina hati.
0764 759 314 naombeni ushauri hatujuii tuanzie wapi tuishie wapi.