Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
mkuu kitovu ni uhai wa mtoto watakuulia mtoto tena kichome moto haraka sana na majivu tupa chooni do it hurry usimpe mtu yoyote yule wanamfanyia uchawi na wanamweka kwenye himaya zao pliz do it frthe sake of the kid pliz atateswa nanguvu za giza bila hatia hata zile nywele kuwa makini choma moto kabisa /ziflash chooni hata hicho kitovu utaanza kuhangaika wewe hospitali na magonjwa yasiyoisha wewe na ukicheza utampoteza mwanaonimepata mtoto wiki iliyopita. Mama mkwe wangu, mama yangu na bibi wa mke wangu wote tunagombania kitovu cha mtoto. Hatuongei, nyumba imegeuka uwanja wa matukano.
Waganga wanaletwa eti kumkinga mtoto, niwafukuza, nimeambiwa nitarogwa kama nitaendelea kung'ang'ania kitovu cha mwanangu.
Wana jf naomba mniweke maombini
Nimepata mtoto wiki iliyopita. Mama mkwe wangu, mama yangu na bibi wa mke wangu wote tunagombania kitovu cha mtoto. Hatuongei, nyumba imegeuka uwanja wa matukano. Waganga wanaletwa eti kumkinga mtoto, niwafukuza, nimeambiwa nitarogwa kama nitaendelea kung'ang'ania kitovu cha mwanangu. Wana JF naomba mniweke maombini
Pole ndugu na hao majaribu. Kwanza kwanini unaishi na hao ndugu zako wote?? Huwezi kujitegemea?? Huyo mtoto ni wa kwako,kwanini wao ndo wawe na uchungu kuliko wewe?? Usipokuwa imara utasumbuliwa sana na hii dunia. Mkabidhi mtoto kwa mungu na wewe usali sana, pia mpeleke mtoto akaombewe na mama yake pia.Nimepata mtoto wiki iliyopita. Mama mkwe wangu, mama yangu na bibi wa mke wangu wote tunagombania kitovu cha mtoto. Hatuongei, nyumba imegeuka uwanja wa matukano.
Waganga wanaletwa eti kumkinga mtoto, niwafukuza, nimeambiwa nitarogwa kama nitaendelea kung'ang'ania kitovu cha mwanangu.
Wana JF naomba mniweke maombini
mi mwenyewe nimeona hao ni wapinzani wa jadi kwenye ulimwengu wa kiroho, sasa huko ngoma imekuwa nzito ndio anajidai kuja kusaka suluhu huku kwenye ulimwengu wa mwiliWewe binafasi unagombea hicho kitovu cha mtoto ili ukifanyie nini? Inaonekana wazi wote ni magwiji wa uchawi sasa mambo yamewashinda mnaanza kuyaweka hadharani. Mgeukie Yesu ukatubu, achana na mambo ya kishirikina.
mi mwenyewe nimeona hao ni wapinzani wa jadi kwenye ulimwengu wa kiroho, sasa huko ngoma imekuwa nzito ndio anajidai kuja kusaka suluhu huku kwenye ulimwengu wa mwili