Tunataka kuwa Taifa takatifu? Bila sexual workers? Tufanye haya

Tunataka kuwa Taifa takatifu? Bila sexual workers? Tufanye haya

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
  1. Ripoti zote za mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) zifanyiwekazi bila uonevu wala kuoneana haya
  2. Sauti ya umma isikilizwe na kuheshimiwa
  3. Polisi waishi kwenye viapo vyao wasivuke mipaka ya PGO
  4. Utawala Bora iwe ni mandatory siyo option
  5. Kuku wote watagie bandani (wenye akili wamenielewa)

Baada ya hapo, anzisha vita na bifu kali dhidi ya wanaojiuza miili yao.

Hizi kamata kamata zinafanyika kiholela hazisaidii kuondoa tatizo, sana sana bei ya huduma itaongezeka maana Haramu ni demandable
 
  1. Ripoti zote za mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) zifanyiwekazi bila uonevu wala kuoneana haya
  2. Sauti ya umma isikilizwe na kuheshimiwa
  3. Polisi waishi kwenye viapo vyao wasivuke mipaka ya PGO
  4. Utawala Bora iwe ni mandatory siyo option
  5. Kuku wote watagie bandani (wenye akili wamenielewa)

Baada ya hapo, anzisha vita na bifu kali dhidi ya wanaojiuza miili yao.

Hizi kamata kamata zinafanyika kiholela hazisaidii kuondoa tatizo, sana sana beu ya huduma itaongezeka maana Haramu ni demandable
Naunga mkono hoja
 
Bila Sex Workers inawezekana tutashuhudia migogoro mingi sana ya kifamilia na changamoto mbali mbali, inabidi tukubaliane na uhalisia tu ya kuwa hawa watu ni sehemu ya utulivu wa jamii, ninachoweza kuishauri serikali ni iangalie namna bora ya kuiratibu bishara hii na labda hata kui ingiza katika mfumo wa uchumi, yanaweza kutengwa maeneo rasmi kama vile Soho red light district kule london ambako huduma ya Sex workers itapatikana, wajasiriamali hawa pia wapewe elimu juu ya ngono salama na jinsi ya kujilinda kikamilifu dhidi ya maradhi ya ngono, vinginevyo ni kupoteza muda tu dunia imehamia kwenye digital platform biashara imekuwa rahisi zaidi.
 
Kwa CCM hii hii ninayoijua mimi?
As long as CCM inaendelea kuwa madarakani, hivyo ulivyovitaja vyote vitabaki kuwa ni maandiko tu yasiyo fanyiwa kazi.
Hivyo sio vipaumbele vya CCM kamwe hawahangaiki navyo.
 
Back
Top Bottom