Tunataka kuwekeza kwenye Kilimo Serikali weka sera za kuaminika

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Nimeanza kufanya uchunguzi wa kuwekeza kwenye Kilimo Tanzania kwa kusaidiana na wawekezaji wa US Kwenye Kilimo. US ina tengeneza 40% ya chakula chote duniani wakati wana 10% tu wa eneo. Tatizo kubwa nililonalo Tannzania ni kuogopa sera kubadilika badilika kila wakati za kilimo, kuruhusu uuzaji wa mazao nje na tatu kodi ya vifaa vya kilimo ikiwa pamoja na vya umwagiliaji. Tunaomba kuwe na sera za uhakika hata kama hatukubaliani nazo ili tuweze kuwekeza. Mfano wa kilimo kwanza
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…