Hivi nyinyi mnawajuwa wahafidhina wa CCM Zanzibar kweli? hawa ni wanafiki na wanaoongozwa na baadhi ya waandishi wa habari uchwara ambao daima huongozwa na utashi badala ya uhalisia.kinachoendelea kule katika mabaraza ya katiba baada ya kuyateka mabaraza hayo hasa katika mikoa na wilaya zenye ngome zao WAANDISHI WAO WANARIPOTI ETI NI YA WAZANZIBARI,HUTASIKIA WAKIRIPOTI MAONI TOFAUTI (Bias). Ukweli ni kwamba WAZANZIBARI WENGI HAWATAKI SERIKALI 3,2 wala 1WAO ni MAMLAKA KAMILI NA KUKIWA NA HAJA YA MUUNGANO BASI NI MKATABA wanafahamu sana hili hawatoripoti kwa sababu sio (interests yao). Mabaraza yakatiba yameanza unguja kusini na kaskazini ambazo ni ngome zao hata hivyo wananchi wazalendo wametowa maoni mazuri tu hayatasemwa na wahafidhina .Kwa taarifa zenu mabaraza ya katiba Zanzibar ni 13 hili la wilaya ni 1 tu. kuna ya kidini,sheria, elimu za juu,watu wenye mahitaji maalum, vyama vya siasa, asasi za kiraia nk sasa jee haya ya wilaya hata mkifanikiwa ( najuwa haiwezekani) haya mengine itakuwaje? mwaka huu wahafidhina mnalo limewaganda.Ni waambie kule bara sasa wameamka wanataka TANGANYIKA YAO. WANA JF MUUNGANO NDICHO KICHAKA CHA CCM KILICHOBAKI hufunika mambo kwa kisingizio chakulinda MUUNGANO kumbe wanafaidi na hukitumia kuwanyamazisha wanamabadiliko. Tumewagunduwa zamani huku na ndio maana wakangangania ser 2 . wanajuwa wamekwisha sipati picha BARA CHADEMA ZANZIBAR CUF.haya yanawatia kiwewe.LKN TUWE MAKINI HAWA JAMAA KWA HILI WATATUMALIZA wataendelea na mikakati ya kungowa watu kucha sijuwi watafanikiwa . HAKUNA KURUDI NYUMA.