Dede 01
JF-Expert Member
- May 12, 2024
- 1,182
- 2,248
Habari wakuu.
Kwenye Jamii yetu watu wengi ni watumwa wa pesa yaani unakuta mtu anafanya kazi kwa bidii sana hadi anakosa muda wa kukaa na familia yake yote sababu ya pesa.
Sisemi ya kwamba tusifanye kazi kwa bidii, la hasha. Ila tunatakiwa kuwa huru kufanya tutakacho maishani bila kuamriwa na mtu. Na njia pekee ya kupata uhuru huu ni kupata elimu ya kifedha(financial intelligence),hapa sizungumzii uhasibu ila nazungumzia elimu ambayo itakupa uwezo wa kutambua fursa za kiuchumi zilizopo katika eneo husika na kuzifanyia kazi ili kuongeza kipato.
Ni watu wachache sana wanaotambua kuwa wanatawaliwa na pesa na wachache wanaofanikiwa kujikomboa.
Njia pekee ya kupata financial intelligence ni kupitia kusoma vitabu vya masuala ya fedha na kwa bahati mbaya sana elimu hii haitolewi mashuleni.
Moja kati ya kitabu ninacho recommend mtu asome ni cha "RICH DAD,POOR DAD" kilichoandikwa na Robert Kiyosaki.
Mimi yangu ni hayo tu,kazi imebaki kwenu.
Kwenye Jamii yetu watu wengi ni watumwa wa pesa yaani unakuta mtu anafanya kazi kwa bidii sana hadi anakosa muda wa kukaa na familia yake yote sababu ya pesa.
Sisemi ya kwamba tusifanye kazi kwa bidii, la hasha. Ila tunatakiwa kuwa huru kufanya tutakacho maishani bila kuamriwa na mtu. Na njia pekee ya kupata uhuru huu ni kupata elimu ya kifedha(financial intelligence),hapa sizungumzii uhasibu ila nazungumzia elimu ambayo itakupa uwezo wa kutambua fursa za kiuchumi zilizopo katika eneo husika na kuzifanyia kazi ili kuongeza kipato.
Ni watu wachache sana wanaotambua kuwa wanatawaliwa na pesa na wachache wanaofanikiwa kujikomboa.
Njia pekee ya kupata financial intelligence ni kupitia kusoma vitabu vya masuala ya fedha na kwa bahati mbaya sana elimu hii haitolewi mashuleni.
Moja kati ya kitabu ninacho recommend mtu asome ni cha "RICH DAD,POOR DAD" kilichoandikwa na Robert Kiyosaki.
Mimi yangu ni hayo tu,kazi imebaki kwenu.