TATIZO LA GPS KUISHA MUDA (GPS EXPIRE)
Hapo ndipo mafundi wengi wanawaambia wateja wao kuwa Application hizo kuwa ni za bure.Tatizo uanza baada ya miezi sita au mwaka hapo ndo utaona kifaa chako kimesimama kuripoti na mara nyingi itakuambia DEVICE EXPIRE.
Hapo ndipo utamtafuta fundi wako naye mara nyingi atakua anakukwepa na hata akikupa ushirikiano mara nyingi watakwambia badilisha sim card hata hivyo njia hiyo haiwezi kutatua tatizo mwisho wa siku watakwambia kuwa device imekufa na watakushawishi ununue nyingine ambayo baada ya miezi sita au mwaka tatizo lilelile linajirudia tena.
ISECURE TECHNOLOGY tuna platform ya uhakika na ya kuamika ambayo tunaweza kuchukua hiko kifaa chako na kukihamishia kwenye mfumo wetu wa GPS. Huitaji kununua kifaa kingeni, tunatumia hicho kifaa ulichonacho na kitafanya kazi kawaida tu
GHARAMA
0710141917
- Je kifaa cha GPS ambacho unatumia kinakwambia GPS expire?
- Je umeshindwa kulipia platform online unayotumia kwa ajili ya GPS yako
- Je una kifaa cha GPS ambacho umeshindwa kukitumia kwasababu umekosa platform
- Je wewe ni fundi na unamiliki vifaa vya GPS na unataka kufanya biashara lakini unashindwa kupata platform kwa ajili ya wateja wako?
Hapo ndipo mafundi wengi wanawaambia wateja wao kuwa Application hizo kuwa ni za bure.Tatizo uanza baada ya miezi sita au mwaka hapo ndo utaona kifaa chako kimesimama kuripoti na mara nyingi itakuambia DEVICE EXPIRE.
Hapo ndipo utamtafuta fundi wako naye mara nyingi atakua anakukwepa na hata akikupa ushirikiano mara nyingi watakwambia badilisha sim card hata hivyo njia hiyo haiwezi kutatua tatizo mwisho wa siku watakwambia kuwa device imekufa na watakushawishi ununue nyingine ambayo baada ya miezi sita au mwaka tatizo lilelile linajirudia tena.
ISECURE TECHNOLOGY tuna platform ya uhakika na ya kuamika ambayo tunaweza kuchukua hiko kifaa chako na kukihamishia kwenye mfumo wetu wa GPS. Huitaji kununua kifaa kingeni, tunatumia hicho kifaa ulichonacho na kitafanya kazi kawaida tu
GHARAMA
- Kwa wateja wanaotaka kuhamishia vifaa vyao kwenye mfumo wetu watatakiwa walipe gharama ya Tsh 50,000.
- Kwa wateja wapya ambao watataka wafungiwe vifaa vipya gharama itakuwa ni 150,000 tsh
0710141917