Tunatengeneza na Kudesign logo, Business card, Websites Pamoja na Android Application

Kama usipo renew domain inauzwa?
Je, ikipita km miezi 3 hivi halafu uka renew bei inakuwaje?
Maana naona watu walionunua domain Godaddy wanalia baada ya kuona domain zao zinauzwa.
Kama domain yako imeexpire na kwa sasa ipo huru. Unaweza kuisajili kwa Gharama ya Tsh 15,000/= kwa mwaka kwa .com kurenew gharama ni Tsh 30,000/=. Kwa msaada zaidi CALL/ SMS/ WhatsApp : 0621454246 au 0711414246

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SSL Certificate ni cheti cha kieletroniki chenye taarifa muhimu zinazohusiana na Kampuni au mtu. Pindi funguo zenye taarifa ya cheti hiki zinapofungwa kwenye seva, basi husababisha browser kuonesha alama ya kufuri likimaanisha kuwa mawasiliano yote kati ya seva na browser yatapita kwenye njia salama. Mara nyingi, mtindo huu hutumika sana kulinda taarifa muhimu kama kwenye mabenki, manunuzi ya online na sehemu yoyote online inayopokea taarifa muhimu za mtumiaji.

Kwa siku za karibuni, tumeona ongezeko la matumizi ya SSL Certificates hata kwenye websites za kawaida ambazo hazipokei taarifa za watumiaji. Hii ni kwa sababu, mtandao wa utafutaji wa taarifa za mtandaoni (Google Search Engine) wameweka SSl certificate kama moja ya vigezo vyake katika upangaji wa utafutaji wa taarifa, hivyo watu wengi wameamua kutumia fursa ili kujiweka katika nafasi nzuri ya upatikanaji kwenye mitandao (online visibility).


Kwanini unahitaji SSL Certificate kwa Website ya biashara yako
Ukiacha sababu za kuongeza daraja la website kwenye mitandao ya utafutaji, SSl Certificate ikakusaidia;

  • Kuongeza usalama wa taarifa kati ya mtumiaji na seva
  • Kuongeza uaminifu kwa wateja
  • Kuboresha biashara kwa kuvutia wateja zaidi
 
Kama domain yako imeexpire na kwa sasa ipo huru. Unaweza kuisajili kwa Gharama ya Tsh 15,000/= kwa mwaka kwa .com kurenew gharama ni Tsh 30,000/=. Kwa msaada zaidi CALL/ SMS/ WhatsApp : 0621454246 au 0711414246

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa na hosting account yangu mwenyewe, gharama za kutengeneza hiyo website zitakuaje?
 
Nikiwa na hosting account yangu mwenyewe, gharama za kutengeneza hiyo website zitakuaje?
Gharama inaanzia 200,000/= inategemea pia na aina na mahitaji ya website yako.
 
Kumbe haina tofauti na mtu asiye na hosting account yake mwenyewe? Doh
Ndio mkuu, Gharama hiyo kwa upande wetu imekua hivyo hivyo sababu hosting tunahost wenyewe kwa gharama hiyo tunatoa free hosting miez 6, na free .com domain mwaka mzima.
 
Ndio mkuu, Gharama hiyo kwa upande wetu imekua hivyo hivyo sababu hosting tunahost wenyewe kwa gharama hiyo tunatoa free hosting miez 6, na free .com domain mwaka mzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kwa mteja mwenye "Hosting Account" yake mwenyewe na "domain names" zake kadhaa, ambaye shida yake yeye ni kutengenezewa websites tu? Hamkufikiria hilo kwenye "packages" zenu?
 
Vipi kwa mteja mwenye "Hosting Account" yake mwenyewe na "domain names" zake kadhaa, ambaye shida yake yeye ni kutengenezewa websites tu? Hamkufikiria hilo kwenye "packages" zenu?
Usiwe na shaka CALL/ SMS/ WhatsApp: 0621454246/ 0711414246. Tuweze kufahamu aina ya website na mahitaji yake tunaweza kufanya kazi.
 
Website hukufanya uwe na nafasi ya kueleza mambo uyafanyacho kwa watu wengi zaidi. Ni kweli unaweza kuwa na akaunti nyingi za mitandao ya kijamii . Lakini watu wengi hawatopata kukufahamu vizuri kama sio kupitia kwa website yako ambapo utakua na kurasa zilizopangiliwa vema kabisa.
 
Sajiri Domain yako pamoja na Kuhost Website kwa Gharama ya Kuanzia TZS 4,000/= Kwa Mwezi Wasiliana nasi sasa.
 
Salama
 
Boresha Biashara/ Kampuni yako kuonekana ya Kisasa Zaidi, Karibu tukutengenezee Website / Logo Kwa Gharama Nafuu Zaidi.
 
Pia tunatoa huduma yakusajiri Domain pamoja na Kuhost Website kwa Gharama ya Kuanzia TZS 4,000/= Kwa Mwezi Wasiliana nasi sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…