Tunatengeneza na kuuza furnitures za majumbani na ofisini

Tunatengeneza na kuuza furnitures za majumbani na ofisini

1. Ndio mimi ni fundi kwa kushirikiana na wenzangu
2.Ukifika keko magulumbasi ulizia Jack, Emma, Said au Hamadi
3. Kuhusu material ya vitanda na makabati ni pendekezo la mteja kutokana na mfuko wako utasema unataka material gani
Asante. Hayo ni majina. Ninaomba jina la kiwanda au show room yako pale Keko. Ili nifike kwa Jina la ofisi au show room. Asante
 
Hua nachefukwa na moyo ninapoona mtu anabandiika mijipicha ya kwenye internet.

Nakiri kua sio picha zote za internet ulizoweka. Musiwe wajanja wajanja weka kazi yako tu. Mambo za internet subiri mteja aje akuletee umtengenezee.
 
Hongera sana. Samahani Nina maswali na ninaomba uyajibu kwa ukweli.
1. Wewe ndiye mtengenezaji haswa au ni dalali? Keko ninaifahamu ndani nje.
2. Jina la biashara au hii show room inaitwaje? Na kiwanda ni kwa nani nikifika niulizie? Sitaki nikupigie simu.
3. Hivyo vitanda unatengeneza kwa hard wood au soft?
4. Makabati ni hard wood au ni MDF?

Tuanze kwanza na haya
Mleta uzi akiwa fundi na yeye nahama nchi
 
Kila furniture inabei yake kwahiyo ukihitaji unapoint unayoitaka nakutajia bei kwamaelewano zaidi usisite kuwasiliana nami 0652898378
Kila kitu kuwa na bei yake ni kawaida taja hiyo bei, hiyohiyo uliyotuonesha ndiyo utaje bei yake
 
Hua nachefukwa na moyo ninapoona mtu anabandiika mijipicha ya kwenye internet.

Nakiri kua sio picha zote za internet ulizoweka. Musiwe wajanja wajanja weka kazi yako tu. Mambo za internet subiri mteja aje akuletee umtengenezee.
Asante kwa ushauri wako mkuu nitafanyia kazi
 
una picha za kazi ya ofisi yyte mliyoifanya nyie?
Hizo apo boss wanguView attachment 1610460View attachment 1610462View attachment 1610464View attachment 1610461View attachment 1610463View attachment 1610466View attachment 1610465View attachment 1610467
IMG-20201023-WA0027.jpg
IMG-20201023-WA0029.jpg
IMG-20201023-WA0030.jpg
IMG-20201023-WA0028.jpg

Kwa picha zaidi WhatsApp 0652898378 naona nyingine zinagoma kuaupload
 
Dining table yenye viti 6
Mnauzaje
Mbao iwe mkongo au mninga

Ova
 
Back
Top Bottom