hammydeclassic
Member
- Dec 6, 2018
- 36
- 9
- Thread starter
- #21
Ndiyo boss wanguMmeshawahi kufanya kazi ya kubrand ofisi kwa ndani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo boss wanguMmeshawahi kufanya kazi ya kubrand ofisi kwa ndani?
Asante. Hayo ni majina. Ninaomba jina la kiwanda au show room yako pale Keko. Ili nifike kwa Jina la ofisi au show room. Asante1. Ndio mimi ni fundi kwa kushirikiana na wenzangu
2.Ukifika keko magulumbasi ulizia Jack, Emma, Said au Hamadi
3. Kuhusu material ya vitanda na makabati ni pendekezo la mteja kutokana na mfuko wako utasema unataka material gani
Mleta uzi akiwa fundi na yeye nahama nchiHongera sana. Samahani Nina maswali na ninaomba uyajibu kwa ukweli.
1. Wewe ndiye mtengenezaji haswa au ni dalali? Keko ninaifahamu ndani nje.
2. Jina la biashara au hii show room inaitwaje? Na kiwanda ni kwa nani nikifika niulizie? Sitaki nikupigie simu.
3. Hivyo vitanda unatengeneza kwa hard wood au soft?
4. Makabati ni hard wood au ni MDF?
Tuanze kwanza na haya
Mimi nahama kabsa dunia...Mleta uzi akiwa fundi na yeye nahama nchi
Kila kitu kuwa na bei yake ni kawaida taja hiyo bei, hiyohiyo uliyotuonesha ndiyo utaje bei yakeKila furniture inabei yake kwahiyo ukihitaji unapoint unayoitaka nakutajia bei kwamaelewano zaidi usisite kuwasiliana nami 0652898378
Safi, nitakucheckHicho kitanda ni sh laki9, iyo double decker m2, karibu sana boss
Ulizia Ritzy deco boss wanguAsante. Hayo ni majina. Ninaomba jina la kiwanda au show room yako pale Keko. Ili nifike kwa Jina la ofisi au show room. Asante
Asante kwa ushauri wako mkuu nitafanyia kaziHua nachefukwa na moyo ninapoona mtu anabandiika mijipicha ya kwenye internet.
Nakiri kua sio picha zote za internet ulizoweka. Musiwe wajanja wajanja weka kazi yako tu. Mambo za internet subiri mteja aje akuletee umtengenezee.
Karibu ofisini kujionea vijana tunavyopambanaMleta uzi akiwa fundi na yeye nahama nchi
Karibu sana bossSafi, nitakucheck
Asante boss kwa ushauli nakuahidi nitafanyia kaziKila kitu kuwa na bei yake ni kawaida taja hiyo bei, hiyohiyo uliyotuonesha ndiyo utaje bei yake
una picha za kazi ya ofisi yyte mliyoifanya nyie?Ndiyo boss wangu
Hizo apo boss wanguView attachment 1610460View attachment 1610462View attachment 1610464View attachment 1610461View attachment 1610463View attachment 1610466View attachment 1610465View attachment 1610467una picha za kazi ya ofisi yyte mliyoifanya nyie?
Karibu sana boss
NitafikaUlizia Ritzy deco boss wangu
Karibu sana boss wanguNitafika