INAUZWA Tunatoa huduma ya Drone Camera na CCTV Camera, Laptop na vifaa mbalimbali vya umeme

INAUZWA Tunatoa huduma ya Drone Camera na CCTV Camera, Laptop na vifaa mbalimbali vya umeme

Kuna nyumba moja JAmaa walitumia Wire ambao umechunwa wote wakawa wameufunga jiwe hivyo walivyorusha ile ikagusanisha Waya 8 hivyo ikapiga shoti baada ya wiki wakarudia tena hivyo hivyo mpk ikawa kero kwa mwenye nyumba
Mmh sio kero tu kuna siku hiyo nyumba itaungua
 
Hazina maana siku hizi kuweni wabunifu...

Jirani yangu juzi kaibiwa na ana camera system pamoja na fenc ya umeme.. wamekuja wamevaa gunia, wanatembea na tester wamepima wakakuta umeme wakakata tu.....

Mavi matupu.
weka na tangawizi
 
BILL COUNTER MACHINE-0686 316 748

[emoji832]Usipoteze muda mwingi kuhesabu pesa, Wateja wengi wanapenda fast & excellent services
[emoji832]Upgrade ofisi yako iwe ya kisasa zaidi kwa kujipatia hii mashine ya kuhesabia hela ili uweze kuwahudumia wateja wako kwa haraka na ufanisi mkubwa
[emoji832]Mawakala wa Mpesa, Tigopesa etc hii sio ya kukosa kwenye ofisi zenu
[emoji832]Inahesabu milioni moja kwa sekunde kumi tu
[emoji832]Hii itakusaidia kugundua noti feki, hela zilizochanika na ambazo zipo katika hali mbaya
[emoji832]Ni rahisi sana kuitumia, na itaifanya ofisi/biashara yako iwe ya kisasa zaidi na utendaji kazi utakuwa wa ufanisi zaidi
[emoji839] Waranty mwaka mmoja
BEI: Tsh 300,000/=Tu

[emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736]

TUPIGIE
0686 316 748
Tupo dar es alaam- kariakoo
Kwa wateja wa dar free delivery . Mikoani unatumiwa

Screenshot_20220420-083535.jpg
 
ELECTRIC FENCE ni fence ya umeme yenye kupiga shoti, pindi mtu yeyote atakapojaribu kukatiza fence kuingia au kutoka nje ya kampound kupitia either juu ya ukuta au mahali ilipofungwa fence, pia king'ora kitalia na taa ya strobe kutoa taarifa kuwa kuna jambo la hatari lina endelea .
Material yanayotumika
[emoji117]Aluminium poles [emoji117] Aluminum wire [emoji117]Energizer machine (fence charger ) [emoji117]Tension Spring [emoji117]stainer [emoji117]warning sign[emoji117]Earth rod [emoji117]HT cable [emoji117]siren [emoji117]strobe [emoji117]Alarm cable [emoji117]Insulator

[emoji419]Kwa wateja wangu wa Dar huwa tunawashauri kufunga Aluminium poles, (nguzo), Aluminium wire au Stannely steel wire kutokana na mazingira ya chunvi, faida zake ni kwamba.
[emoji832]Hazishiki kutu
[emoji832]Hazipati layer ya chumvi inayopunguza uwezo wa kupiga shoti
[emoji832]Zinakaa muda mrefu sana
[emoji832]Zina muonekano mzuri.

Gharama za kufunga fence zinategemea mambo yafuatayo
[emoji117]Ukubwa wa ukuta -(material yatatumika mengi au machache kulingana na ukubwa wa ukuta
[emoji117]Shape ya fence -Ukuta wako umenyooka au upo straight, au unakonakona au ngazi ngazi, ukuta ulionyooka materials yatatumika machache hivyo bei itakuwa chini ukilinganisha na ukuta wenye kona kona au ngazi.

Karibu ROYAL SECURITY SOLUTIONS
Tukufanyie kazi nzuri bora na ya uhakika kwa usalama wako na mali zako..
Usikubali vibaka na wezi wakusumbue ..
ishi ukiwa na utulivu wa nafsi ukiwa ndani ya fensi ya umeme

0686316748

TUPO DAR ES SALAAM-mbezi beach NA ARUSHA- SAKINA

Screenshot_20220501-201058.jpg
 
BILL COUNTER MACHINE-0623 137 099

[emoji832]Usipoteze muda mwingi kuhesabu pesa, Wateja wengi wanapenda fast & excellent services
[emoji832]Upgrade ofisi yako iwe ya kisasa zaidi kwa kujipatia hii mashine ya kuhesabia hela ili uweze kuwahudumia wateja wako kwa haraka na ufanisi mkubwa
[emoji832]Mawakala wa Mpesa, Tigopesa etc hii sio ya kukosa kwenye ofisi zenu
[emoji832]Inahesabu milioni moja kwa sekunde kumi tu
[emoji832]Hii itakusaidia kugundua noti feki, hela zilizochanika na ambazo zipo katika hali mbaya
[emoji832]Ni rahisi sana kuitumia, na itaifanya ofisi/biashara yako iwe ya kisasa zaidi na utendaji kazi utakuwa wa ufanisi zaidi
[emoji839] Waranty mwaka mmoja
BEI: Tsh 300,000/=Tu

TUPIGIE
0623 137 099
Tupo dar es alaam- makumbusho
Kwa wateja wa Dar free delivery . Mikoani unatumiwa.

Screenshot_20221010-123113.jpg
 
NOW 4K available
Drone camera .. complete set
720P, 1080P 4K fullHD video Recording , taking photo.
2.5Hz.
Double camera
Inapanda juu mita 100
Bei Tsh 250,000Tu
Wahi zimebaki chache
Dar unalipa ukishapokea.
Mikoani unatumiwa ..
Tupo makumbusho
0623137099

Polish_20221029_124451672.jpg
 
MASHINE YAKUSAGA NA
KUKOBOA 2 IN 1

[emoji837]Faida za Mashine hii
[emoji839]Inakazi mbili Inasaga na kukoboa kwa wakati mmoja.

[emoji839]Inarahisisha kazi na kupunguza gharama za umeme.

[emoji839]Inasaga vitu vingi kama
mahindi, mchele, ulezi, mihogo, kawaha na nafaka zote kavu

[emoji839]Inakoboa mahindi, mpunga, mtama.

[emoji839]Ina uwezo wa kusaga kilo 300kwa saa

[emoji839]Nzuri sana kwa kazi na inatumia umeme

Mdogo wa majumbani 220v(single phase)

BEI YAKE NI Tsh 2,400,000/=
Milioni mbili laki nne

Warranty mwaka mmoja.

Mashine iko complete tayari kutumia .
Wateja wa mkoni wanatumiwa kwa uhakika na usalama.

0623137099

Tupo Dar es salaam kisutu .(Morogoro road na Indian street)
View attachment 2410256
FB_IMG_1667898808194.jpg
 
Offer ya msimu wa siku kuu.
ROYAL SECURITY SOLUTIONS Tunakufungia mfumo wa cctv camera kwa sh 650,000Tu.
Gharama inajumuisha vifaa vyote
Camera nne , drv 4ch moja , waya roller moja , Router ya internet, Hard disk 500GB, power supply, BNC na power pin .

Mfumo unajumuisha kuangalia kwenye simu janja ukiwa popote duniani ..

Gharama za ufundi ni bure kwa wateja wa dar. Piga simu sasa 0623137099.

Tupo mbezi beach makonde
Polish_20221213_150456446.jpg
 
Offer ya msimu wa siku kuu.
ROYAL SECURITY SOLUTIONS Tunakufungia mfumo wa cctv camera kwa sh 650,000Tu.
Gharama inajumuisha vifaa vyote
Camera nne , drv 4ch moja , waya roller moja , Router ya internet, Hard disk 500GB, power supply, BNC na power pin .

Mfumo unajumuisha kuangalia kwenye simu janja ukiwa popote duniani ..

Gharama za ufundi ni bure kwa wateja wa dar. Piga simu sasa 0623137099.

Tupo mbezi beach makonde View attachment 2445219
Sikuu?
 
[emoji837] ELECTRIC FENCE

[emoji832]Karibu kwa wa huduma za kuwekewa fensi ya umeme

[emoji832]Tunao wataalamu wenye uwezo wa design fensi yenye muonekano mzuri kulingana na ukuta wako.

[emoji832]Fence hizi ni imara na na bora kwa usalama wako , familia yako na mali zako ,

[emoji832]Usikubali tukio likutokee ndio ujutie kwann ulichelewa kufunga fensi ya umeme.

[emoji832] Usiruhusu vibaka wakuingilie nyumbani kwako .

[emoji832]Lala usingizi mnono kabisa ukiwa umeshajihakikishia usalama wako na mali zako

[emoji419]Mfumo huu umeunganishwa na king'ora [emoji599] ambacho kitakupa taarifa endapo fensi itaguswa au kuharibiwa kwa njia youote .

[emoji3591]KARIBU SANA ROYAL SECURITY SOLUTIONS KWA KAZI BORA NA YENYE UFANISI

TUPO DAR ES SALAAM MBEZI BEACH
0623137099
Bofya hapa kuingia whatsa app[emoji116]

Screenshot_20230315-080732.jpg
 
Mfumo huu umeunganishwa na king'ora
emoji599.png
ambacho kitakupa taarifa endapo fensi itaguswa au kuharibiwa kwa njia youote
Nna swali hapa mkuu,

Umesema king'ora kitakupa taarifa endapo fensi itaguswa au kuharibiwa Ila haujaeleza itaguswa na nini na kitu au kiumbe chochote au ukiguswa na mtu binadamu?

Kwanini nimesema hivyo?

Kuna fensi ya umeme kwa pembeni kuna minazi ya kisasa siijui jina juu ya mnazi kulikua na nyoka wa Kijani, huyu nyoka katika pita pita zake akajikuta ameangukia kwenye waya wa fensi ya umeme alafu waya zilikua na Moto (yaan umeme ulikua umewashwa), kwa hio nyoka alipoangukia kwenye waya alipigwa shoti pale pale na shoti ni shoti kweli zinaruka mpaka cheche zinachemka zinarukaruka Ila mkuu king'ora hakikulia hata kidogo, sasa shida ni nini hapo na umesema ikiguswa king'ora kinalia mbona hakikulia king'ora au kuna itilafu inabidi kufanyia maintenance ya mfumo?

Naomba jibu na maelezo labda king'ora kina-detect mguso wa binadamu tu na sio kitu kingine km groves, panzi, gongo, nguo, etc
 
Nna swali hapa mkuu,

Umesema king'ora kitakupa taarifa endapo fensi itaguswa au kuharibiwa Ila haujaeleza itaguswa na nini na kitu au kiumbe chochote au ukiguswa na mtu binadamu?

Kwanini nimesema hivyo?

Kuna fensi ya umeme kwa pembeni kuna minazi ya kisasa siijui jina juu ya mnazi kulikua na nyoka wa Kijani, huyu nyoka katika pita pita zake akajikuta ameangukia kwenye waya wa fensi ya umeme alafu waya zilikua na Moto (yaan umeme ulikua umewashwa), kwa hio nyoka alipoangukia kwenye waya alipigwa shoti pale pale na shoti ni shoti kweli zinaruka mpaka cheche zinachemka zinarukaruka Ila mkuu king'ora hakikulia hata kidogo, sasa shida ni nini hapo na umesema ikiguswa king'ora kinalia mbona hakikulia king'ora au kuna itilafu inabidi kufanyia maintenance ya mfumo?

Naomba jibu na maelezo labda king'ora kina-detect mguso wa binadamu tu na sio kitu kingine km groves, panzi, gongo, nguo, etc
King'ora kinafanya kazi pale ambapo inaguswa na kitu chochote ambacho ni conducting material ..
Hapo lazima king'ora kingelia kwasababu tayari kuna short imetokea kwenye waya ..
 
King'ora kinafanya kazi pale ambapo inaguswa na kitu chochote ambacho ni conducting material ..
Hapo lazima king'ora kingelia kwasababu tayari kuna short imetokea kwenye waya ..
Sasa hakikulia tatizo litakua ni nini na hii ni fensi mliyoifunga nyinyi na kampuni yenu nyoka alikufa Ila king'ora hakikulia hata kidogo, sema kilichotushtua ni mlio wa zile cheche tu maana alipigwa shoti ni cheche tu zinalia muda wote tukajiuliza kuna nini kuangalia vizuri tinakuta nyoka amekufa

Ila mbon naambiwa kikilia king'ora maana yake system Ina tatizo inabidi fundi aje kufanya marekebisho km waya umepatwa, au kitu kimeangukia waya, nk mfano Leo sababu ya mvua kuangukiwa na majimaji nyaya zinapiga shoti Ila king'ora hakilii emu toa elimu hii vizuri mkuu eleza vizuri
 
Back
Top Bottom