Car4Sale Tunatoa huduma ya kuagiza magari ya aina mbalimbali
Kumbe shida haikuwa ni gari ya gharama 8la shida ni uoga wa kuimiliki kutokana na maneno ya fundi shabani chini ya muembe. Utasikia ohooo hiyo gari usinunue.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uoga wetu Tu wabongo ndo maana tuliogopa magari tofauti na Toyota Ila sikuhizi mambo ni poa maana Subaru forester ndiyo gari pendwa alafu CC zake ni ndogo ukilinganisha na harrier, vanguard na kluger
 
🔥AGIZA: SCANIA MENDE 8×4 kwa 140m🔥
-------------------------------
🛒Na YETU MOTORS CO. LTD- Waelimishaji, Washauri na Waagizaji Magari
-------------------------------
P Series 380 ya 2008, Manual Gia 8/16, 4WD, Km 454,000
-------------------------------
Gharama zote 140,000,000. Malipo ya awali 80,000,000

Inafaa kwa matumizi binafsi na kukodisha
-------------------------------
OFA ZETU: Kupon ya 100,000, Service, Triangle na Fire Extinguisher
_______________________
🇹🇿Mbeya & Dar
IMG_20220829_101305_425.jpg
 
Wana JF, Salam kutoka Yetu Motors Co. LTD- Welimishaji, Washauri na Waagizaji Magari!

Pichani ni Subaru Forester XT ya 2008, Cc 2000 (Km 10/L), AWD.

Gharama zote 22,800,000. Malipo ya awali 10,500,000

Tunapatikana
Dar- Golden Jubilee Tower
Mbeya- Mwanjelwa Soko Jipya

Piga; 0719 989 222
WhatsApp Image 2022-11-04 at 23.17.04.jpeg
 
Salam wana JF!

Pichani ni BMW 3 SERIES ya 2007, Cc 2000 (Km 16/L), 2WD.

Gharama zote 16,300,000. Malipo ya awali 9,000,000

Tunapatikana
Dar- Golden Jubilee Tower
Mbeya- Mwanjelwa Soko Jipya

Piga; 0719 989 222
WhatsApp Image 2022-11-04 at 23.17.05.jpeg
 
Salam wana JF!

Pichani ni OFA YA MWEZI ya VW AMAROK

Kuagiza nasi mwezi huu itakugharim 57m badala ya 65m

Tunapatikana
Dar- Golden Jubilee Tower
Mbeya- Mwanjelwa Soko Jipya

Piga; 0719 989 222
WhatsApp Image 2022-11-05 at 04.04.40.jpeg
 
Ya 2007? Kawauzie mbwa huko
Tatizo nini boss? Gari zipo za miaka mingi, tueleze ya mwaka unaohitaji tukupatie makadirio ya gharama...hilo toleo la kuanzia 2004-2010 zinagharim kati ya 15m- 18 kutegemea na mwaka, hali ya gari na bei ya muuzaji kule nje. Karibu tukuhudumie
 
Tatizo nini boss? Gari zipo za miaka mingi, tueleze ya mwaka unaohitaji tukupatie makadirio ya gharama...hilo toleo la kuanzia 2004-2010 zinagharim kati ya 15m- 18 kutegemea na mwaka, hali ya gari na bei ya muuzaji kule nje. Karibu tukuhudumie
Mkuu achana nae,focus kwenye biashara. Ukute hana hata pikipiki.
 
Salama ndugu wana JF?

Tuanze kwa kutoa pole kwa familia zilizopoteza wapenda wao na majeruhi wa ajali ya shirika la Precision Air iliyotokea jana tarehe 6 Novemba huko Bukoba.

Pichani hapo chini ni PDF inayoelezea kwa ufupi kuhusu gari penda aina ya BMW 3 Series ili iweze kukuongoza katika kufanya uchaguzi sawa na mahitaji yako.

3 Series-Elimu.jpeg
 
Salama ndugu wana JF?

Tuanze kwa kutoa pole kwa familia zilizopoteza wapenda wao na majeruhi wa ajali ya shirika la Precision Air iliyotokea jana tarehe 6 Novemba huko Bukoba.

Pichani hapo chini ni PDF inayoelezea kwa ufupi kuhusu gari penda aina ya BMW 3 Series ili iweze kukuongoza katika kufanya uchaguzi sawa na mahitaji yakoView attachment 2409196
Uzi bila picha ni utumbo Mtupu.
Market officer hajafanya kazi yake ipasavyo
 
Salama ndugu wana JF?

Tuanze kwa kutoa pole kwa familia zilizopoteza wapenda wao na majeruhi wa ajali ya shirika la Precision Air iliyotokea jana tarehe 6 Novemba huko Bukoba.

Pichani hapo chini ni PDF inayoelezea kwa ufupi kuhusu gari penda aina ya BMW 3 Series ili iweze kukuongoza katika kufanya uchaguzi sawa na mahitaji yako.

View attachment 2409196

N43 ni direct injection engine na huwa zinasumbua hata kama zipo kwenye toyota. Japo hii ya BMW ina matatizo mengi extra apart from yale ambayo tumeyazoea kwenye DI engines.

Kama unataka kupata stroke nunua gari yoyote Direct injection kwa mswahili.

Hizi ni gari za kuagiza uanze nayo mwenyewe maisha, huku ukiipa service ya hali ya juu,

Safisha nozzle, sandblast intake valves na change oil regularly kwa sababu oil inakuwa diluted sana na mafuta hasa kipindi cha cold start.

Hii fuel kudilute Oil kwenye Cold start ndio inafanya engine inalika sana kwa watu wavivu kufanya service.

Ishu ya timing chain kufeli ipo kwa upande wa engine za diesel ipo sana kwenye M47.

M57 ni moja kati ya legendary engines za BMW kama siyo the best. Na hata sasa hivi ikitaka kutafuta BMW yenye M57 utahangaika sana na bei inaweza kuwa mkasi.
 
Back
Top Bottom