Tunatoa huduma ya kuhama mtaa kwa mtaa na Dar kwenda mikoani

Tunatoa huduma ya kuhama mtaa kwa mtaa na Dar kwenda mikoani

IMG_3697.jpg
 
Mkuu Tatizo hujaweka bei za uhamisho kwa mfano nataka kutoka Dar kuja Arusha bei gani kwa uzito gani na mizigo gani Watu wafanye tathmini...
Au Kutoka moshi mpaka Tanga au Tanga mpaka mwanza au singida mpaka Dodoma au Tabora mpaka msata au Kigoma mpaka kagera...
Panga kazi yako watu watakuja tu
 
Back
Top Bottom