bongo-live
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 1,141
- 1,294
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji160] [emoji160] [emoji160] [emoji160]Sasa hivi tunatongozwa bila vinywaji!;;;;;; akikuona atakuomba namba!;;;; akifik yumbani kwake anachukua cm anaanza kukutumia vi emoji vya cm; chupi na brazia; atakuuliza nije lini; mkikutana unaona jengo limeandikwa guest house heeeee heeee;;;; unawazimu????
Unamjua kweli huyu jamaa!! atakushusha mshipa.kumbe wewe ni she
Bikra !!!!!! ya mtandao upi ??wengine bado ss bikra..
Unamjua kweli huyu jamaa!! atakushusha mshipa.