Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
KaribuSawa bwana Lord denning secretary wa Mungu.
Na pia watatokea nanabii wa uwongo.Askofu Bwana asifiwe,nimesikitika sana na mada yako hii,Ina maana katika hii miaka mitano ya utawala huu unakubaliana na matendo mabaya yaliyofanyika,unataka kutuaminisha kuwa matendo ya ukatili yaliyofanywa ilikuwa sawa,Lissu alipopigwa risasi ilikuwa sawa,Aliphonce mawazo aliuwawa kikatili,hakuna kesi.watu wamepotea kwenu ni sawa.kwa hiyo flyover Ndo muhimu kuliko damu za watu zilizopetea.OK ila biblia inasema nyakati za mwisho uovu utaongezeka.
Lisu ana njaa na uchu hadi anachechemea.Njaa mbaya sana.
Chechemea na wewe kama unaona anafaidiLisu ana njaa na uchu hadi anachechemea.
Sina haja.Chechemea na wewe kama unaona anafaidi