Tunatumia pesa zetu

Ulinzi wa aina hii unatumika nchi masikini ili kuwatisha wasilete shida afu wakahadithiane vijiweni vile kiongozi wao ana ulinzi mkali km nchi za ldc CAR, S Sudan, Uganda na Tanzaganda.
tempid Nairobi kiatu ukingarisha kwa nta ya kanuba utatembea kwa angalau siku 5 kabla kiparare...vile umesema ni kama Zurich ilhali dar slum ni kama upgrade ya bujumbura.
 
Mtu asieijua Nairobi anaweza dhani ni kama Zurich
Dah, naona umetupa kijembe hapo. Naona huamini kwamba Nairobi ni zulia la simiti. Tembea ujionee mengi.
 
Tanzania is where kenya was in the 1980s when Moi used to be escorted by fighter jets.
 
We ride on decent roads sio juu ya garbage Nairobi, tena wala huku sio Dar
 
Mvuta bangi hapa anajulikana.
Nyie hata mko karibu kutinga watu milioni sitini. Kazi mnayoifahamu vyema ni kucheza bedminton lakini ikifika ni kuchapa kazi, nyie mnashindwa kuchapa kazi.
 
Nyie hata mko karibu kutinga watu milioni sitini. Kazi mnayoifahamu vyema ni kucheza bedminton lakini ikifika ni kuchapa kazi, nyie mnashindwa kuchapa kazi.
Hivi kati ya Kenya ambao eneo lenu ni nusu ya Tanzania lakini idadi yenu mpo karibia 50M na Tanzania tupo karibia 55M lakini eneo ni karibu Mara mbili ya Kenya, wapi wanazaana sana?, au hata kulijua hili pia kunahitaji Dr. Ndii awaeleweshe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…