Leo rais Samia amesema wapo kwenye mchakato wa kusaini mkataba ili tununue umeme kutoka kenya kwa ajili ya watu wa Kaskazini..
Sasa najiuliza kuna haja gani ya kununua umeme nchi jirani wakati tunatengeneza umeme wa zaida.?
Wajuzi wangekuja kutuelezea vzuri hii imekaaje kaaje
Sasa najiuliza kuna haja gani ya kununua umeme nchi jirani wakati tunatengeneza umeme wa zaida.?
Wajuzi wangekuja kutuelezea vzuri hii imekaaje kaaje