Tunauza Bidhaa za Solar na Tunafunga Solar System

Tunauza Bidhaa za Solar na Tunafunga Solar System

Laptop 90w
Spika 30w
Solar Panels 300Watts - 450,000/=
Battery 200Ah - 600,000/=
Control Charge 20A - 55,000/=
Wire 4mm² 10Meters - 40,000/=
Inverter 12V 150Watts(Modify) - 60,000/=
Total Tsh 120,5000/=
Discount: 1,160,000/=
■Systems hiyo ni kwa masaa 12 kwa siku.

-------------
Solar panels 170Watts - 250,000/=
Battery 120Ah -350,000/=
Control Charge 10A - 40,000/=
Wire Panels 4mm² 10Meters - 40,000/=
Inverter 12V 150Watts (Modify) - 60,000/=
Total Tsh 740,000/=
■Systems hii ni kwa masaa 8

Call 0685 779 911
Whatssap 0756403470

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Solar Panels 300Watts - 450,000/=
Battery 200Ah - 600,000/=
Control Charge 20A - 55,000/=
Wire 4mm² 10Meters - 40,000/=
Inverter 12V 150Watts(Modify) - 60,000/=
Total Tsh 120,5000/=
Discount: 1,160,000/=
■Systems hiyo ni kwa masaa 12 kwa siku.

-------------
Solar panels 170Watts - 250,000/=
Battery 120Ah -350,000/=
Control Charge 10A - 40,000/=
Wire Panels 4mm² 10Meters - 40,000/=
Inverter 12V 150Watts (Modify) - 60,000/=
Total Tsh 740,000/=
■Systems hii ni kwa masaa 8

Call 0685 779 911
Whatssap 0756403470

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante nitakupigia
 
Hivi jaman kuna system za solar unaweza kufungiwa nyumbani ambazo mtu unaweza kuweka vifaa vyako kama pasi , fridge , heater na vifaa vingine vinavyotumia sana umeme !! Ikiwezekana vitumike vyote kwa pamoja kama tunavyotumia ule wa Tanesko
 
Hivi jaman kuna system za solar unaweza kufungiwa nyumbani ambazo mtu unaweza kuweka vifaa vyako kama pasi , fridge , heater na vifaa vingine vinavyotumia sana umeme !! Ikiwezekana vitumike vyote kwa pamoja kama tunavyotumia ule wa Tanesko
Naam inawezekana ila gharama itakuwa kubwa zaidi kwa haraka haraka ni 24M+
IMG-20230929-WA0033.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuuu hujawah jibu swala langu, nilikufata mpaka wasap,, vifaa vyangu vyote Maximum ni power watt 3500
 
Na linadumu mda gani?
Watanzania waliowengi bado hawana uelewa kuhusu mifumo ya umeme wa jua, vifaa vyake, na matumizi.

Kuna watu wanaunganisha moja kwa moja waya kutoka kwenye panels kwenda kwenye battery, na kutoka kwenye battery kwenda kwenye matumizi bila kupitia kwenye charger controller. Haya ni matumizi mabaya na battery haliwezi kumaliza mwaka.
 
Watanzania waliowengi bado hawana uelewa kuhusu mifumo ya umeme wa jua, vifaa vyake, na matumizi.

Kuna watu wanaunganisha moja kwa moja waya kutoka kwenye panels kwenda kwenye battery, na kutoka kwenye battery kwenda kwenye matumizi bila kupitia kwenye charger controller. Haya ni matumizi mabaya na battery haliwezi kumaliza mwaka.
Naam ni kweli na hii ndio changamoto kubwa iliyokuwepo..ndio maana sisi tunajitahidi kutoa Elimu katika Pages Facebook inayootwa UFUNGAJI UMEME WA SOLAR NA USHAURI ili watu waelewe japo kwa uchache.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom