Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu dstv ata mm nilikuwa natumia na nina kisimbuzi na dish lake bt kwa sasa dilishi la dstv nimeunganisha na kisimbuzi cha azam dstv nimewahama kwa reasons zifuatazoUkiachilia local channels ambazo zipo nje ya uwezo wa kampuni ingawaje kampuni Kama kampuni haijakata tamaa bado inaendelea kuzipambania ili zirejee ni ki/vipindi gani ambavyo unahisi vinakosekana mpaka kushindwa kukonga nyoyo zenu!!??
Sawa,kwahiyo mimi huku kijijini hiyo hainihusu,poa tu endeleeni kupendeleana,ila mjue mtakuja tu huku na nyinyi siku moja...Kwa Tsh 77,000 tu!!
Unapata: Dish, Decoder HD, Cable, ( vifaa vyote ), kifurushi Cha family cha Tsh 29,900 na unapata fundi wa kukufungia bila kulipa gharama ya ziada!!
Ili kupata offer hii piga 0789476655 WhatsApp +255784378129
Offer hii ni kwa Dar pekee!!
Mengineyo yote kuhusu DStv Kama:-
•Kulipia
•Vifurushi
•Mafundi
•Kununua
View attachment 1906653
Mimi mwenyewe nimekiweka pending tangu 2018, nimehamia azam kule maisha yako poa yaki sultan sultani na ki kulfi kulfi, ata kifurushi kikiisha still bado naweza nikaona chanel za local zaidi ya kumi mda wote, mpk nitakapoamua kuunga za kulipia.Mkuu usitumie nguvu kubwa sana kuitetea dstv kwa sasa, in fact imepoteza sana mvuto tangu watoe local chanel + gharama za vifurushi ni kubwa sana.
Ukilipia 19900/= chanel za maana unazopewa hata tatu hazifiki, wakati upande wa star times mfano, ukilipia 21k ndio kifurushi chao cha juu na unapewa chanel karibia zote na local channels juu.
Nimekua dstv tangu 2014 ila saiz nimekiweka tu ndani maana nimetafuta wateja hata kwa 30k lakini sijapata hadi leo
unajibu kwa weledi, vizuriSwala la kukata hapa tunaweza kukaa sana..
1.Inawezekana system ikafail channels zikakata ( sikatai Ila huwa Ni badra sana n ndo maana hata tukiomba kusikiliza malalamiko ya wateja wa DStv Kati ya wateja kumi inawezekana ukawa wewe tu kuhusu hiyo issue ya kukata channels kabla mwezi kuisha ) Ila unaweza ukazirejesha hata wewe mwenyewe bila hata kutupigia simu kwa kubofya *150*53#
2.Zinaweza zikakata kwasababu maalum pengine unatumia kwa matumizi ya biashara haliyakuwa a/c yako ni ya nyumbani!
3.Wakati mwengine signal kuwa weak Ni sababu pia
4.Kwa channels tukianzia quality ya picha hakuna kisimbuzi chenye quality Kama DStv na kuhusu urudiwaji wa movie inategemea na kifurushi na tunazingatia wapo ambao wanakosa kuona muda ambao inaonyeshwa kwa Mara ya kwanza ndio maana tuna channels zaidi ya 5 za movie..
Bado DStv inaendelea kuwa Bora ingawaje hatuwezi kumfurahisha kila mmoja ijapokuwa tunachukua Naomi katika kuboresha huduma zetu!
Hiyo elf 21 upate bas channel za maana [emoji35] yaan sijakilipia tangia mwez wa 6 na sina mpango najipanga njnnue azam!Mmeongeza bei kifurushi cha 19,900 kuanzia sept 21,000 yaani tozo hadi kwenye visimbuzi [emoji848]
Hiyo elfu 20 yako utaishia kuangalia HubaDuh basi nimeairisha. Nilitaka niuze azam ninunue dstv niwe naangalia EPL. Kumbe hata 20k hupati kifurushi cha kuangalia EPL?!
Kama walivyo nifanyia mimi kipindi cha Olympics!Hawa jamaa ni bure kabisa wako kiupigajipaji tu, mara wakate chaneli bila hata taarifa.
Shida vifurushi vyao nivya ghali sana.wanakushawishi kuweka ila kuanza kulipia ndio mzikiBiashara imeanza kuwa ngumu, Azam anapaaa tu
Ghalama zao kubwa sanaUkiachilia local channels ambazo zipo nje ya uwezo wa kampuni ingawaje kampuni Kama kampuni haijakata tamaa bado inaendelea kuzipambania ili zirejee ni ki/vipindi gani ambavyo unahisi vinakosekana mpaka kushindwa kukonga nyoyo zenu!!??
Mm usema ukweli hawa jamaa sio wasikivu kabisa.mfano mm napenda movie kifurushi changu cha 21000 movie zake za kizamani sana nimeshawaambia wala hawajali.hata kama wanaona hatuna pesa angalau kwa siku wawe wanatuwekea hata 1 Kali za kisasa.hzo laki 1 na kitu kwa mwezi tutazitoa wapi.nataka kuamia azam tuuBinafsi najua vizuri uzuri na weakness za VISIMBUZI vyote Tanzania..!!
Labda ningesikia kilichokuhamisha DStv pengine tungeelimishana kitu hapa!
Hupati mkuuDuh basi nimeairisha. Nilitaka niuze azam ninunue dstv niwe naangalia EPL. Kumbe hata 20k hupati kifurushi cha kuangalia EPL?!
Au tubadilishane nikupe dstvDuh basi nimeairisha. Nilitaka niuze azam ninunue dstv niwe naangalia EPL. Kumbe hata 20k hupati kifurushi cha kuangalia EPL?!
Azam kwa sasa ndio kimbilio.Duh basi nimeairisha. Nilitaka niuze azam ninunue dstv niwe naangalia EPL. Kumbe hata 20k hupati kifurushi cha kuangalia EPL?!