INAUZWA Tunauza, kufunga na kufanya marekebisho ya visimbuzi aina zote, pamoja na CCTV Camera na Uzio wa Umeme

Ukiachilia local channels ambazo zipo nje ya uwezo wa kampuni ingawaje kampuni Kama kampuni haijakata tamaa bado inaendelea kuzipambania ili zirejee ni ki/vipindi gani ambavyo unahisi vinakosekana mpaka kushindwa kukonga nyoyo zenu!!??
Mkuu dstv ata mm nilikuwa natumia na nina kisimbuzi na dish lake bt kwa sasa dilishi la dstv nimeunganisha na kisimbuzi cha azam dstv nimewahama kwa reasons zifuatazo
1.vifurushi vyenu kiuhalisia ni ghali sana, kifurushi cha chini kabisa ni 19,000/=sina hakika kama imeshuka kdg bt kiuhalisia mpo juu sana. Azam ni 8000/= na local chanel zipo incase huna kifurushi.

2.hamuna local channels, so kama mteja hana hela ya kuunga kifurushi mara tu kiishapo, tv inabaki kama kabati tu sebuleni au aangalie chanel ya matangazo yenu. Azm zipo zaidi ya local chanel kumi incase ata kama huna hela ya kuunga kifurushi bado sebule inapendeza.

3.mvua ikinyesha kidg au kukiwa na wingu kdg tu dstv chaliiiiiii mpk hali ikitulia.

Ubora wenu ni mmoja tu, quality contents compare to other visimbuz.
 
Sawa,kwahiyo mimi huku kijijini hiyo hainihusu,poa tu endeleeni kupendeleana,ila mjue mtakuja tu huku na nyinyi siku moja...
 
Mimi mwenyewe nimekiweka pending tangu 2018, nimehamia azam kule maisha yako poa yaki sultan sultani na ki kulfi kulfi, ata kifurushi kikiisha still bado naweza nikaona chanel za local zaidi ya kumi mda wote, mpk nitakapoamua kuunga za kulipia.
 
unajibu kwa weledi, vizuri

ila naunga hoja za wadau hapo juu, kutokuwa na local channels, vifurushi kupanda, channels useful chache mno, movies kutwa kucha kurudia izo izo tuuu

kiukweli dish lenu limeliweka benchi , nafikiria kujiunga na Azam
 
Duh basi nimeairisha. Nilitaka niuze azam ninunue dstv niwe naangalia EPL. Kumbe hata 20k hupati kifurushi cha kuangalia EPL?!
 
Kipindi cha Olympics wameniondolea baadhi ya stesheni kwenye kifurushi changu cha family Hadi Olympics zilivyokwisha ndo wakanirudishia! DSTV ni wa anabu Sana, kwa Sasa najiandaa kuhamia Azam au hata STAR TIMES ilibidi.
 
decoder pekee mnauza bei gani? yangu inaishia kuwaka njano haiendelei mbele.
 
Ukiachilia local channels ambazo zipo nje ya uwezo wa kampuni ingawaje kampuni Kama kampuni haijakata tamaa bado inaendelea kuzipambania ili zirejee ni ki/vipindi gani ambavyo unahisi vinakosekana mpaka kushindwa kukonga nyoyo zenu!!??
Ghalama zao kubwa sana
 
Binafsi najua vizuri uzuri na weakness za VISIMBUZI vyote Tanzania..!!
Labda ningesikia kilichokuhamisha DStv pengine tungeelimishana kitu hapa!
Mm usema ukweli hawa jamaa sio wasikivu kabisa.mfano mm napenda movie kifurushi changu cha 21000 movie zake za kizamani sana nimeshawaambia wala hawajali.hata kama wanaona hatuna pesa angalau kwa siku wawe wanatuwekea hata 1 Kali za kisasa.hzo laki 1 na kitu kwa mwezi tutazitoa wapi.nataka kuamia azam tuu
 
Na Azam akipata tu nafasi ya kuonyesha EPL basi DSTV watapumulia mashine zaidi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…