Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

Karibuni sanaa
Acha kiburi, badilisha tangazo nyumba yako ionekane vizuri uuze. Utaishia kukaribisha watu tu mpaka lini.
Mtu yeyote mwenye akili akiona tangazo lina muda mrefu linazimuliwa tu kama pombe ya kienyeji analipotezea.
eti "karibuni sana"
 
Boss Sina Hela hapo nimesema TU Kwan ukiamua kufua hospital Kuna tatizo
Sasa Kama hauna hela, kwann unataka Kodi ya mwaka mzima? Yaaani mtu alipe 1,250,000 x 12 =15,000,000 mil , then ndo afungue biashara? Utasubir mtume au Yesu ashuke dunian kwa mashart hayo
 
WHATSAPP[emoji336] 0712690760
Mwaka:2005
Engine capacity:1480
km 127865
[emoji618] petrol
Automatic
Engine safi gia Box safi
Ipo: kinondoni
[emoji383] MILL 7 .5
[emoji336] 0712690760/0755984282

 
Ngoja waje wajasiliamali wa dini kuja kupangisha na kulifanya kanisa wawe wanachezea akili wake za watu wasiojitambua.
 
Mi ni Mchungaji, unapangisha kwa kiasi gani kwa mwezi....nataka kufungua kanisa la kishikaji maana nina mazezeta kibao wananishauri niwatafutie sehemu ya kuwachezea akili na kufanya ufuska.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…