zebanga watelanga
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 862
- 398
- Thread starter
- #501
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimfacho mkuu mtu chake nimekwamaKwanini unaiuza bei ndogo hivyo. Mimi ninayo na kama kuiuza sasa si chini ya 8M.
Inategemea pengine anataka kuongezea akanunue nyingine kali zaidi maana gari kama hiyo tena yenye condItion nzuri kuitoa japan hadi hapa ni 11 ikizidi ni 12 tu kila kitu ..Kwanini unaiuza bei ndogo hivyo. Mimi ninayo na kama kuiuza sasa si chini ya 8M.
Saiv 17 mpk 19 mkuuInategemea pengine anataka kuongezea akanunue nyingine kali zaidi maana gari kama hiyo tena yenye condItion nzuri kuitoa japan hadi hapa ni 11 ikizidi ni 12 tu kila kitu ..
Sembuse hiyo ni B ameshaitumia hadi basi. hiyo bei ni sawa
Asante nashukuruYaani unanunua AC kwa Million 5.8?
Hiyo ndio gari ya 1.5 mkuuNina 1.5mil.
Ongeza taarifa kama Km
price imepanda sana ndani ya muda mfupi duh!Saiv 17 mpk 19 mkuu
Uwezi kunichagulia gari la kununua, bora ungesema pesa yako ndogo.Hiyo ndio gari ya 1.5 mkuuView attachment 2566493
Mnunuzi huyu hapo, hii ukiikataa shauri yako.Chukua 4 kamili mkuu mfuko wa shati
Kama wewe nisivyo weza kukulazimisha kukuchaguli pesa ninyingi Sana ila siuzi bei hiyoMnunuzi huyu hapo, hii ukiikataa shauri yako.
Asante mkuu upo chini pesa ninying kwangu haina maslahiChukua 4 kamili mkuu mfuko wa shati
Laki tano chap nije kuchukua ndinga hiloHiyo ndio gari ya 1.5 mkuuView attachment 2566493
Sip yangu nenda ukiongea. Nae vizuri atabule anaweza
[emoji23][emoji23]Sip yangu nenda ukiongea. Nae vizuri atabule anaweza
Tuliza munkari 😁😁😁 hiyo hata tvs iliyotumika mwaka mmoja hupatiUwezi kunichagulia gari la kununua, bora ungesema pesa yako ndogo.
Jifunze biashara.