zebanga watelanga
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 862
- 398
- Thread starter
- #21
MIMI SIO DALALI POA NIMEKULEWA MKUU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei kubwa sana.
Pili TRA watahoji nlipozipata hizo fedha.
Tatu,hiyo hela bora kwekeza kwenye Duka la Spea na kupata fedha zaidi.
Nne,Hiyo ni anasa kwenye nchi ambayo watu wanaishi kwenye nyumba za tembe kutembelea mil 139.
Tano,Bora ukatoe sadaka kanisani hiyo hela ieneze injili
Dah!!!umasikini bhana!!!!Bei kubwa sana.
Pili TRA watahoji nlipozipata hizo fedha.
Tatu,hiyo hela bora kwekeza kwenye Duka la Spea na kupata fedha zaidi.
Nne,Hiyo ni anasa kwenye nchi ambayo watu wanaishi kwenye nyumba za tembe kutembelea mil 139.
Tano,Bora ukatoe sadaka kanisani hiyo hela ieneze injili
Unafahamu bei ya Land Cruiser V8 ya 2015?? Acha kulinganisha simba na mbwa bro!!Nje ya mada samahani
Hivi wadau hii gari ina nini cha ziada mpaka ilingane bei na land cruiser v8, ilhali hata kimuonekano haishtui kama v8?????.
Nimekutana nazo humu mara kibao tu ndio maana nikashangaa, hata huko kupatana yard zipo pia kwa bei hizi ndio chanzo cha mshangao.Unafahamu bei ya Land Cruiser V8 ya 2015?? Acha kulinganisha simba na mbwa bro!!
Acha utani bana. Hailingani bei na v8. Mwaka juzi ofisini tumenunua v8 kwa dola 70, 000 bila kodi. Ukikokotoa kodi lazima ije mil 200 na usheeNje ya mada samahani
Hivi wadau hii gari ina nini cha ziada mpaka ilingane bei na land cruiser v8, ilhali hata kimuonekano haishtui kama v8?????.