Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
Ahaaaaa....lkk nahisi itakuwa inakunywa Kwa sanaEngine capacity cc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaaaa....lkk nahisi itakuwa inakunywa Kwa sanaEngine capacity cc
Comment zikiwa nyingi wateja wengi 😂Iyo ni engine capacity cc 1980
Apana unatemaAhaaaaa....lkk nahisi itakuwa inakunywa Kwa sana
Apana inatema
Hichi kiti kimelazwa au kimejilaza ?
Mm nauza gari mkuu sijapost gari kutafuta kikiComment zikiwa nyingi wateja wengi [emoji23]
kiki hadi JF zipo [emoji23]
Nadhani ndugu dalali kuna kitu alitaka kuandika cc za engine husika.Hii ni ya mwaka 1980??
Nimevilaza ndioHichi kiti kimelazwa au kimejilaza ?
Hata plant yake ilishafungwa.2023-1980 = 43yrs
Miaka inakimbia aisee.
Sawa kaka mkubwa, tuna support uzi, uzi ni contents, contents ni comments.Mm nauza gari mkuu sijapost gari kutafuta kiki
HakikaChuma cha pua iko