Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna suala la hali, hiyo gari yard inauzwa 10.5, ukiagiza 10.2Angalia na hali ya gari lenyewe msiwe mnakariri
Asante kwa kua muelewa, watu wanakariri sana ,wajulikane tu na wao wanajua magarAngalia na hali ya gari lenyewe msiwe mnakariri
We jamaa umevamia fani, GX 110 tena iliyosajiliwa mwaka 2018 unaiuza kwa mil 11??? Unatafuta nn?? Yard inauzwa 10.5,
hiyo ukiuza sanaa utauza mil 8.5, na hapo umejitahidi kwelikweli.
Huo ndio ushauri wangu, chukua au acha
Sent using Jamii Forums mobile app
Unavyonunua inakuwa pimped kama ya mdau hapo juu? au unagharamia mwenyewe
Kuna baadhi zinakua pimped toka Japan zingine una pimp mwenyewe huku bongoUnavyonunua inakuwa pimped kama ya mdau hapo juu? au unagharamia mwenyewe
na hizo naamini ni extra charges maana ni uremboKuna baadhi zinakua pimped toka Japan zingine una pimp mwenyewe huku bongo
Aahh mkuu hizi gari kibongo bongo hazina soko hapo possibility huyu mleta mada amebadilo rim na matairina hizo naamini ni extra charges maana ni urembo
Usisahau kwenye factors influencing demand kuna preferences pia, kama mimi napenda 100 ma ntakuja kuliagiza kutoka nje.Gx-110 kwa 11M..!? Napita tu mkuu
Dalali uchwara umeumbuka
Ongea kama mwanaume,,maneno ya kike waachie waimba taarabDalali uchwara umeumbuka
Biashara imeshaisha zaman ,watu wenye hela hawaongei sana,,hizo 2m zako katoe msaada kwaajil ya corona!asanteAisee mkuu ukiuza kwa hiyo hela njoo nikuongeze 2m
Sir dreamcheaser
Biashara imeshaisha zaman ,watu wenye hela hawaongei sana,,hizo 2m zako katoe msaada kwaajil ya corona!asante
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeeeUmeshamshikisha mtu?
Mtumie hata 50K tuamini kweli gari umeuza kwa 11M.
Haaa haaa haaa