Embu shuka kidogo upo juuHabarini wakuu, karibuni gari bado ipo. Epuka MADALALI, mimi ndiye mmiliki wa gari.
.
0717 650800
Hii ni ya bongo kabisa imechoka vibayaHii chombo pamoja na mambo mengine.
Tuwe waungwana imechezewa Kilometer
Tazama unavyoshindwa kuficha ujinga wako
SawaHii ni ya bongo kabisa imechoka vibaya
Nipgie tuzungumze chief [emoji1666]Embu shuka kidogo upo juu
Biashara haigombi si busara kudhalilishana kama huna pesa hiyo piga kimya.Tazama unavyoshindwa kuficha ujinga wako
OkNipgie tuzungumze chief [emoji1666]
πππUchawi unakusaidia nini mkuu?
Uko sahihi kabisa mkuu [emoji1666]Biashara haigombi si busara kudhalilishana kama huna pesa hiyo piga kimya.
[emoji1666]Ahsante kwa taarifa...
Imeshauzwa?Wakati mwingine kuwa mchawi sio lazima upae na ungo usiku [emoji419]