Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

Nje ya mada, kwa nini mkitaka kuuza magari lazima picha zake mpige gari ikiwa kwenye mvua au imelowa maji, mnaficha nini hapo.
Hapo jua hicho kipengele. Au ukiona dalal kabandua namba kimbia kama mwehu kimeo hicho.unakuta anaibandua anaiweka chini
Au ukiona anasema a.c kuganda kimbia
 
Mkuu basi utakuwa na magari mengi sana maana kila gari unalouza unasema ''NAUZA GARI YANGU ''
Toyota Ist DSN
Brevis
subaru X20
Raum CYV
Kuna mmoja anauza magari bei chee,kila gari analopost ukimpigia simu anasema nina matatizo ndo maana nauza.
 
*Gari Haijarudiwa rangi isipokuwa bampa ya nyuma tu *
.
990cc
Hutumii funguo kuwasha gari
Engine safi
Gear box safi
Haigongi chini
Ndani clean na nje clean
Haijawahi kupata ajali
AC [emoji736]
91,000 Kms
Bima Active
Haina madeni Wala fines za barabarani
Documents zote zipo
.
Bei: TZS. 5m
.
Kimara - Dsm
.
Call: 0717 650800 [emoji1666]
IMG_20231117_85520.jpg
IMG_20231117_85340.jpg
IMG_20231117_85557.jpg
IMG_20231117_85444.jpg
IMG_20231117_85426.jpg
IMG_20231117_85707.jpg
IMG_20231117_090528.jpg
IMG_20231117_090446.jpg
IMG_20231117_090428.jpg
IMG_20231117_090145.jpg
IMG_20231117_085850.jpg
IMG_20231117_101845~2.jpg
1700047634852.jpg
 
Back
Top Bottom