- Thread starter
- #1,481
Hahahaaa1.5m ipo mfuko wa shati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa1.5m ipo mfuko wa shati
Kweli mkuu, kama vile hakuna toleo tena la Altezza.Ahsante mkuu [emoji1666]
.
Ukiacha Altezza Gita, sijawahi kuona toleo lingine la Altezza
ungana na Joachimb ana 3m nunueni muwe mnaendesha kwa zamuMkuu Nina million 2
Karibu sana hapa Ikulu Magogoni( Geti la Baharini) tufanye biashara
Napenda sana chombo tezaa
Yes kakaKweli mkuu, kama vile hakuna toleo tena la Altezza.
Hapo jua hicho kipengele. Au ukiona dalal kabandua namba kimbia kama mwehu kimeo hicho.unakuta anaibandua anaiweka chiniNje ya mada, kwa nini mkitaka kuuza magari lazima picha zake mpige gari ikiwa kwenye mvua au imelowa maji, mnaficha nini hapo.
Kuna mmoja anauza magari bei chee,kila gari analopost ukimpigia simu anasema nina matatizo ndo maana nauza.Mkuu basi utakuwa na magari mengi sana maana kila gari unalouza unasema ''NAUZA GARI YANGU ''
Toyota Ist DSN
Brevis
subaru X20
Raum CYV
Bei chee mazima au bei chee spana mkononi?Kuna mmoja anauza magari bei chee,kila gari analopost ukimpigia simu anasema nina matatizo ndo maana nauza
Nyeusi vipi kwani?Kabla hujaipulizia rangi, ilikuwa rangi gani hii?
Gari haijawahi kurudiwa rangi [emoji1666]Kabla hujaipulizia rangi, ilikuwa rangi gani hii?