Dah!Kula 3m mkuu
Afadhali umenisaidia mkuu [emoji2]Dah!
[emoji2][emoji2][emoji2]Mkuu Nina million 2
Karibu sana hapa Ikulu Magogoni( Geti la Baharini) tufanye biashara
Napenda sana chombo tezaa
😃😃 Wazee wakurejea!!Mkuu basi utakuwa na magari mengi sana maana kila gari unalouza unasema ''NAUZA GARI YANGU ''
Toyota Ist DSN
Brevis
subaru X20
Raum CYV
Kuna tatizo ktk hilo?Mkuu basi utakuwa na magari mengi sana maana kila gari unalouza unasema ''NAUZA GARI YANGU ''
Toyota Ist DSN
Brevis
subaru X20
Raum CYV
Hakuna tatizo tajiriKuna tatizo ktk hilo?
[emoji1666]Ahsante kwa taarifa...
Mla chake hana deni au sio?😂😂Kuna tatizo ktk hilo?
Rangi inakoleaNje ya mada, kwa nini mkitaka kuuza magari lazima picha zake mpige gari ikiwa kwenye mvua au imelowa maji, mnaficha nini hapo.
Ahsante mkuu [emoji1666]kila la kheri mkuu. Hivi hakuna toleo la model mpya ya Altezza?