mshakamshaka
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 355
- 647
Sina muda wa kuzozana mkuuNamba C halafu uuze mil 7.5???????
Kwa nini mnapenda kuona wenzenu wajinga wasiojua bei za vitu?
Sent using mazonge yamezidi
NotedShuka shuka kidogo mm Nina 7 kamili ukiridhia njoo inbox tufanye biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea imetunzwa vipi nunua gari usinunue namba zipo tuNamba C halafu uuze mil 7.5???????
Kwa nini mnapenda kuona wenzenu wajinga wasiojua bei za vitu?
Sent using mazonge yamezidi
Nimekosea hapoHeading inasema 10.5 million. Au ndio mmeongea kapandisha kilo?
Nimekosea hapo
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukiridhika na milioni 2 cash njoo pm, ila tutalipana kwa awamu mbili, nakupa 1m then baada ya mwezi nakumalizia 1m
Chapter close
Sent using Jamii Forums mobile app