Kwani wewe kujenga na ukamiliki biashara za thamani ya mabilioni kuna shida gani, ama lazima ukopi kwa Wahindi?Hivi mbona Wahindi hawaangaikagi na mambo ya viwanja/kujenga nyumba za kuishi ila wanamiliki biashara za maana (za thamani ya Mabiloni)? Tunakwama wapi?
Acha kupoteza muda wako hapa mkuu, kwa hiyo bei hutopata mteja hapa kamwe.
Tulia tu jamaa, ukishapotea swali lako litakua limejibiwa.
Bado unacho?Available
Plot Description's:
It's located at salasala, majengo.
Plot size is sqm 610
It's full surveyed plot (title deed is on process)
Distance from main road is 60-80m
PRICE: 17.5M
Kindly call/SMS through 0756 832833
N.b only serious individual are needed.
View attachment 1000067View attachment 1000068
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaviuza sana awamu hii na wanunuzi ndio hivyo tena.Watu wanakimbilia kununua Dodoma ndio maana ununuzi wa viwanja huko haupati Viwanja.Punguza bei Mtumishi wa Mungu naweza kukutafutia mteja fasta anahitaji kiwanja maeneo hayo huko.Kiwanja kinapatikana KIMARA, bonyokwa.
Km 3 kutoka kimara mwisho.
MAELEZO
kiwanja kina ukubwa wa sqm 900 (meter 30 kwa 30)
Kiwanja kipo katika mazingira mazuri na kipo tambarare chote
Huduma muhimu kama Maji na umeme vinapatikana
Eneo bado halijapimwa
Price: 17m (neg)
Call/SMS: 0756 832833
For serious person only.
View attachment 1044966View attachment 1044967View attachment 1044969View attachment 1044970View attachment 1044971View attachment 1044972
Sent using Jamii Forums mobile app
wee, physician ni daktari.....
Sawa kiongozi.Ila msiwe mnapandisha sana bei kwani nyie madalali hamshindwi kitu kwa kuvizia10%.Jiulize,watu/madalali msio na haya mnavamia na kuuza maeneo ya jeshi kwa utapeli(hujawahi kusikia raia wamevamia eneo la jeshi?) sembuse wewe dalali uliye nyuma ya keyboard na lugha nzuri/mororo kama demu wa Ki-ngazija ushindwe kweli kumshughulikia mnunuzi kiutapeli?Habari mkuu,
Binafsi nadhan umetoa mawazo kadri ya thinking capacity yako.
Unapotoa hoja usiwe na personal interest kwenye hilo jambo na ni vyema ukapunguza mhemko ili kuwa na thinking room ya kutosha.
Unadhani serikali kuhamia Dodoma ndio kila mtu ataenda kuishi huko?
Swala la kununua asset ni maamuzi ya mtu kulingana na kipato chake anachopata.
Kuna watu wanatafuta viwanja masaki, mikocheni, msasani kwa offer mpaka za 200m,250m na bado hawapati, jiulize kwanin?
Katika maisha siku zote ni vyema ukaangalia wapi unapopaweza na wapi ambapo hufiki ili usiumize nafsi yako.
Kiwanja kinapatikana KIMARA, bonyokwa.
Km 3 kutoka kimara mwisho.
MAELEZO
kiwanja kina ukubwa wa sqm 900 (meter 30 kwa 30)
Kiwanja kipo katika mazingira mazuri na kipo tambarare chote
Huduma muhimu kama Maji na umeme vinapatikana
Eneo bado halijapimwa
Price: 17m (neg)
Call/SMS: 0756 832833
For serious person only.
View attachment 1044966View attachment 1044967View attachment 1044969View attachment 1044970View attachment 1044971View attachment 1044972
Sent using Jamii Forums mobile app
Tambarare ~ Change in Y/ Change in X should be equal or almost equal to 0...
ie Zero gradient.
Yawezekana sielewi vizuri maana ya neno tambarare.
Kwasababu sio kwao hapa ndio maana wengi wanaogopa kufanya hivyoHivi mbona Wahindi hawaangaikagi na mambo ya viwanja/kujenga nyumba za kuishi ila wanamiliki biashara za maana (za thamani ya Mabiloni)? Tunakwama wapi?
Sio lazima kila mtu aelewe. Ukielewa wewe inatosha! 😀😀Mtafsirie kwa kiswahili mkuu hapa hakuna mzungu.